Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Vituo vingi vya daladala kuna masoko yasiyo rasmi. Na kuwaondoa hao wafanyabiashara ni shughuli pevu.Kituo kilikuwa kizuri kinapendeza wabongo mkakigeuza soko now kipo hoi miundo mbinu yote imechoka vibaya
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Sihasa, mkuu WA mkoa yeye ni sihasa TU nothing moreKituo kilikuwa kizuri kinapendeza wabongo mkakigeuza soko now kipo hoi miundo mbinu yote imechoka vibaya
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kwaiyo unataka kusema hayo mashino yamesababishwa na hao wachuuzi?Kituo kilikuwa kizuri kinapendeza wabongo mkakigeuza soko now kipo hoi miundo mbinu yote imechoka vibaya
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Wasimamizi wa kituo hiko, watumie kodi na tozo kufanya ukarabati katika kituo hiko.Miundombinu ya hiki kituo imeharibika kiasi fulani na kutengeneza mashimo makubwa ambayo kwa kipindi hiki cha mvua yanahifadhi maji na kusababisha kero kwa wanaotumia kituo hicho.
Kwanza panapitika kwa shida, usipokuwa makini unaogeshwa maji machafu na daladala au bajaji.
Pia yale mashimo yamechimbika sana kiasi kwamba daladala zinapita kwa shida kwa kugonga chini.
Wahusika wakiangalie kituo hiki kwa roho za huruma waache kuwa wabinafsi.
View attachment 2870632
Na wkaiondolewa wananchi nao wanalalamika kuwanyanyasa.Kituo kilikuwa kizuri kinapendeza wabongo mkakigeuza soko now kipo hoi miundo mbinu yote imechoka vibaya
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Soma vizuri halafu ndio ujibu ameeleza vitu viwili tafauti kwa hivo hakukusudia hivoKwaiyo unataka kusema hayo mashino yamesababishwa na hao wachuuzi?
Hata mimi nashangaa, maana Wafanyabiashara wenyewe wengi wanafanya Usiku,, tunataka kuwatia lawama tu za bure.Kwaiyo unataka kusema hayo mashino yamesababishwa na hao wachuuzi?
Wasema wao ndo wamechimba mashino Sasa sijui walimaHata mimi nashangaa, maana Wafanyabiashara wenyewe wengi wanafanya Usiku,, tunataka kuwatia lawama tu za bure.