Mamlaka zimelipa kisogo suala la kupambana na mapenzi ya jinsia moja.

Chakula cha wataka madaraka na umaarufu wa kidini...
 
Inaweza kuwa hivo ?

Rituals...

Ulimwengu unatekwa na wenye nguvu, na walio na maarifa zaidi ya haya ya kawaida...

Uchoko hauwezi kuisha wala viongozi kuwa na uthubutu wa dhati kuumaliza...
 
Rais muislamu siku zote uabudu MABEBERU NA WAARABU kwa hiyo tegemea nchi kuenda kinafiki zaidi.
 
Rituals...

Ulimwengu unatekwa na wenye nguvu, na walio na maarifa zaidi ya haya ya kawaida...

Uchoko hauwezi kuisha wala viongozi kuwa na uthubutu wa dhati kuumaliza...
Mmmhh,!!
 
Wanaume bhana mfanyane nyie minuko tupate sie, anaefanya na kufanywa wote wanaume, daily mko bize na singo moms yani bado hamjasema
 
Yupo jamaa mmoja nae SODA HAINA GESI anaitwa UNCLE T.

Anavaa kike kabisa huku mdomo katengeneza lips imekuwa nene kama Shangingi.
Jamaa anatamba sana mitandaoni na mamlaka zipo kimya kama hapajatokea kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…