Mamlaka zimelipa kisogo suala la kupambana na mapenzi ya jinsia moja.

Mamlaka zimelipa kisogo suala la kupambana na mapenzi ya jinsia moja.

Hili jambo lisipofanyiwa kazi kuna maandiliz makubwa ya ongezeko la mashoga haswa kwa watoto waliopo mashulen kwa sasa, mana hii hali inawajenga kisaikolojia kuona ni jambo la kawaida kwa maana wapo huru na jamii imewapokea kabisa. Ni hatari sana.
👏
 
Tuanze nyumban kuongea na wadogo zetu watoto zetu wa kiume ninapoishi Kuna mama mtoto wake Yuko form 2 ameanza mambo hayo inaumiza sana kama mzaz mungu anusuru kizaz hiki
 
Tuanze nyumban kuongea na wadogo zetu watoto zetu wa kiume ninapoishi Kuna mama mtoto wake Yuko form 2 ameanza mambo hayo inaumiza sana kama mzaz mungu anusuru kizaz hiki
Form two , na pengne mmechelewa kujua, labda kaanza mda, yoote kwa kheri pambana umsaidie, ata kama ni kujulisha mammlaka husika, Na Mungu atakubariki
 
Wana jamvi "Tumsifu Yesu kristu, Asalaam aleykum , Bwana yesu Apewe Sifa"!
Naiomba serikali yangu JMT iamke, Nimeshangazwa saana na Ongezeko la mashoga mtaani tena wakitembea kwa madaha kabisa, yaan mpaka mtoto wa shule ya msingi ana nyoosha kidole shoga yule.

Yaan kila sehemu mambo haya ya laana na aibu yanataka kushamili kwa kasi, waajiriwa , wafanya biashara na wasio na ajilra inataka kuwa kufuru, utashangaa ma dreva wa kiume wako parking eneo na masaa ya kazi wanachezeana kama mke na mume!

Wadada wameloewa na wadada wenzao, mtu ana muita dada mwenzie mume wangu tena kwa sauti kubwa bila uoga aisee,

Najiuliza na kosa majibu kulikoni ile vita ya kupambana na watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja imefifia? Ni mamlaka gan za serikali zlipewa hili jukumu? , watu kama akina catherine ck, wako wapi, nn hatma ya mambo ya miaka mi 5 ijayo nakuendelea?

Serikali iamke na kuongeza nguvu kama inavyofanya kwenye madawa ya kulevya, ishikrikishe wanachi wenye hof ya Mungu na watiifu katika vita hvi naamni itashinda.🙏
Kuna mashoga mpaka kwenye mamlaka , viongozi wa dini, na mikopo wanayochukua tatizo hamuoneshwi. Hayo mataifa yanavipengele wanataka hao wadudu walindwe. Trump ndio master wa hao majangili tu, katika mataifa ya magharibi.
 
Wana jamvi "Tumsifu Yesu kristu, Asalaam aleykum , Bwana yesu Apewe Sifa"!
Naiomba serikali yangu JMT iamke, Nimeshangazwa saana na Ongezeko la mashoga mtaani tena wakitembea kwa madaha kabisa, yaan mpaka mtoto wa shule ya msingi ana nyoosha kidole shoga yule.

Yaan kila sehemu mambo haya ya laana na aibu yanataka kushamili kwa kasi, waajiriwa , wafanya biashara na wasio na ajilra inataka kuwa kufuru, utashangaa ma dreva wa kiume wako parking eneo na masaa ya kazi wanachezeana kama mke na mume!

Wadada wameloewa na wadada wenzao, mtu ana muita dada mwenzie mume wangu tena kwa sauti kubwa bila uoga aisee,

Najiuliza na kosa majibu kulikoni ile vita ya kupambana na watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja imefifia? Ni mamlaka gan za serikali zlipewa hili jukumu? , watu kama akina catherine ck, wako wapi, nn hatma ya mambo ya miaka mi 5 ijayo nakuendelea?

Serikali iamke na kuongeza nguvu kama inavyofanya kwenye madawa ya kulevya, ishikrikishe wanachi wenye hof ya Mungu na watiifu katika vita hvi naamni itashinda.🙏
Kwenye madawa ya kulevya imefanya nini
 
Kuna mashoga mpaka kwenye mamlaka , viongozi wa dini, na mikopo wanayochukua tatizo hamuoneshwi. Hayo mataifa yanavipengele wanataka hao wadudu walindwe. Trump ndio master wa hao majangili tu, katika mataifa ya magharibi.
Kuna mashoga mpaka kwenye mamlaka , viongozi wa dini, na mikopo wanayochukua tatizo hamuoneshwi. Hayo mataifa yanavipengele wanataka hao wadudu walindwe. Trump ndio master wa hao majangili tu, katika mataifa ya magharibi.
Pamoja na mapungufu yake namuombe trump ashinde kwenye vita hivo
 
Mungu anusuru kizaz chetu.
Hapa sio kutegemea viongoz wa silikal ndo wapambane je unajua wao wapo salama?

Selikal ni wew apo.. Tujitahd malez ya watoto wetu na wamjue MUNGU, kupunguza kas ya ushoga
 
Mungu anusuru kizaz chetu.
Hapa sio kutegemea viongoz wa silikal ndo wapambane je unajua wao wapo salama?

Selikal ni wew apo.. Tujitahd malez ya watoto wetu na wamjue MUNGU, kupunguza kas ya ushoga🙏
 
Wana jamvi "Tumsifu Yesu kristu, Asalaam aleykum , Bwana yesu Apewe Sifa"!
Naiomba serikali yangu JMT iamke, Nimeshangazwa saana na Ongezeko la mashoga mtaani tena wakitembea kwa madaha kabisa, yaan mpaka mtoto wa shule ya msingi ana nyoosha kidole shoga yule.

Yaan kila sehemu mambo haya ya laana na aibu yanataka kushamili kwa kasi, waajiriwa , wafanya biashara na wasio na ajilra inataka kuwa kufuru, utashangaa ma dreva wa kiume wako parking eneo na masaa ya kazi wanachezeana kama mke na mume!

Wadada wameloewa na wadada wenzao, mtu ana muita dada mwenzie mume wangu tena kwa sauti kubwa bila uoga aisee,

Najiuliza na kosa majibu kulikoni ile vita ya kupambana na watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja imefifia? Ni mamlaka gan za serikali zlipewa hili jukumu? , watu kama akina catherine ck, wako wapi, nn hatma ya mambo ya miaka mi 5 ijayo nakuendelea?

Serikali iamke na kuongeza nguvu kama inavyofanya kwenye madawa ya kulevya, ishikrikishe wanachi wenye hof ya Mungu na watiifu katika vita hvi naamni itashinda.🙏
Kila zama na ujinga wake!
Sababu Vitendo hivyo Si mpango wa MUNGU!; YATAKWISHA TU
 
Back
Top Bottom