Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Kuiga jambo si ujinga, cha muhimu ni kuangalia faida za jambo lenyewe.
US. hawana kuchelewachelewa kwenye suala la kutoa offer ya uraia wa kudumu kwa mgeni anayefanya vizuri. Wakiamini yeye au kizazi chake watafanya makubwa kwa Taifa lao.
Tusipoteze fursa hii ya Mayele. Akipata team huko ng'ambo basi tena itabaki historia.
Apewe offer ya uraia na vi package vyake ili asikatae.
Au mnaona raha kufungwa hovyo?
Kuiga jambo si ujinga, cha muhimu ni kuangalia faida za jambo lenyewe.
US. hawana kuchelewachelewa kwenye suala la kutoa offer ya uraia wa kudumu kwa mgeni anayefanya vizuri. Wakiamini yeye au kizazi chake watafanya makubwa kwa Taifa lao.
Tusipoteze fursa hii ya Mayele. Akipata team huko ng'ambo basi tena itabaki historia.
Apewe offer ya uraia na vi package vyake ili asikatae.
Au mnaona raha kufungwa hovyo?