🤣🤣🤣🤣🤣🤣Beki kiazi huyo, mbona hawezi kufanya hivyo kwa mabeki wa mnyama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Beki kiazi huyo, mbona hawezi kufanya hivyo kwa mabeki wa mnyama.
Yaan kwa sababu tu ya kufunga vimagoli vya kubahatisha tena kwenye timu na ligi mbofu mbofu! Ndo apewe uraia? Ki ukweli wewe ni zao la ccm toka pande za ngulyati huko bariadiHabari !
Kuiga jambo si ujinga, cha muhimu ni kuangalia faida za jambo lenyewe.
US. hawana kuchelewachelewa kwenye suala la kutoa offer ya uraia wa kudumu kwa mgeni anayefanya vizuri. Wakiamini yeye au kizazi chake watafanya makubwa kwa Taifa lao.
Tusipoteze fursa hii ya Mayele. Akipata team huko ng'ambo basi tena itabaki historia.
Apewe offer ya uraia na vi package vyake ili asikatae.
Au mnaona raha kufungwa hovyo?