Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Yaani Taifa stars kwa wachezaji hawa wa ndani ni miaka 50 mbele huenda tukashiriki world cupNaunga hoja, na hv Congo amani haipo nafkiri hatachelewa kukubali deal
Yaani anatisha balaa.Ila Mayele nimemkubali.. anaweza kumpiga chini Usain Bolt kwenye mbio.
Lile goli la pili Mayele alitisha ingawa hajafunga yeyeIla Mayele nimemkubali.. anaweza kumpiga chini Usain Bolt kwenye mbio.
Ila alijiamini sana. Kupasia mpira mbele wakati yuko nyuma ya beki..ni imani ya kipekee.Lile goli la pili Mayele alitisha ingawa hajafunga yeye
Hebu nikumbushe, goli la pili lilifungwa na nani?Lile goli la pili Mayele alitisha ingawa hajafunga yeye
Mayele pia siyo mchoyo, mwaingine anatakaal akomae yeye tu na mpiraLile goli la pili Mayele alitisha ingawa hajafunga yeye
Kennedy Musonda.Hebu nikumbushe, goli la pili lilifungwa na nani?
Simkumbuki mfungaji ila namkumbuka aliyelitafuta hadi kutoa assist.
Beki kiazi huyo, mbona hawezi kufanya hivyo kwa mabeki wa mnyama.Ila alijiamini sana. Kupasia mpira mbele wakati yuko nyuma ya beki..ni imani ya kipekee.
Vimbenju hawana dogo🤣🤣🤣🤣Makolo yatabisha