A
Anonymous
Guest
Kuna bar moja inaitwa Flamingo ipo Salasala DSM katika ya makazi ya watu inapiga mziki mkubwa usiku kucha. Inatuletea usumbufu majirani unakuwa na kelele za bar ujakaa sawa kuna kelele za makanisa ya kiroho katika kuabudu
Naomba Serikali iandae sheria ya sounds proof kwa haya makanisa na kumbi za starehe. Kama ipo isimamiwe ipasavyo maana imekuwa kero sana.
Pia soma
Naomba Serikali iandae sheria ya sounds proof kwa haya makanisa na kumbi za starehe. Kama ipo isimamiwe ipasavyo maana imekuwa kero sana.
Pia soma
- NEMC ingieni mtaani mfanye jambo, kuna watu binafsi wanapiga kelele kuliko hata huko kwenye kumbi za starehe
- Hongereni sana NEMC kwa kuanza udhibiti kelele kwenye bar lakini fanyeni haya kuboresha zoezi
- KERO - Makanisa kupiga kelele usiku kucha na mchana kutwa Kahama/Lugera
- NEMC: Msako wa wapiga kelele uko pale pale
- NEMC wekeni utaratibu wa ibada; huku mtaani leo hakukaliki kwa sababu ya kelele!
- NEMC Yafunda Makanisa na kumbi yanayopiga kelele