A
Anonymous
Guest
Watumishi waliohama kada mbalimbali wanakutana na usumbufu hasa katika mfumo wa ESS katika kupangilia malengo ya utekelezaji na hivyo kuwa kikwazo katika utendaji kazi wao wa kila siku.
Kwa mujibu wa taratibu za sasa wenye jukumu hili la kuhamisha taarifa za watumishi na mishahara ni OR-TAMISEMI.
Tunawaomba wawasaidie watumishi katika hili ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao..
Kwa mujibu wa taratibu za sasa wenye jukumu hili la kuhamisha taarifa za watumishi na mishahara ni OR-TAMISEMI.
Tunawaomba wawasaidie watumishi katika hili ili kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wao..