Sawa bwana kennedy the remedyNi Mzuri Sana
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Ana sura mbaya kama yanguNachelea kusema huyu Dada ni kati ya presenter Bora .... Bora saanaa kuwahi kutokea hapa karibuni.
Anatishaaa... Hakika Pengo la Fetty limezibika vilivyo.
Aliye na picha ya mtoto huyu mrembo please..!!! Lazima ni mrembo tu.
Proud of her.
Sasa kwa hii Sura yake si bora tu niazime uzoefu wa kupiga " punyeto " kwa yule Waziri wa Congo? Ndiyo maana Wanawake wengine huwa tunafanya mapenzi na nyie huku Shingo zetu tukizielekezea Magharibi na Fikra zikibaki Ikweta! Halafu huyu nae utasikia kuna Mtu Kafa Kaoza juu yake.
Mkuu mbona ulimkazia sana...Sasa kwa hii Sura yake si bora tu niazime uzoefu wa kupiga " punyeto " kwa yule Waziri wa Congo? Ndiyo maana Wanawake wengine huwa tunafanya mapenzi na nyie huku Shingo zetu tukizielekezea Magharibi na Fikra zikibaki Ikweta! Halafu huyu nae utasikia kuna Mtu Kafa Kaoza juu yake.
Habari wadau.
Mada yajidadavua vizuri. Mwenye picha tafadhali atupie humu.
hahahahahahhaaha dudu baya nae bado kidogo zitamrukaAre you pumb....
In dudu baya voiceAre you pumb....
UPUUZI MTUPUView attachment 809703Huyu hapa