Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hahahaha pamoja sana mkuu busara zako ni zaidi ya msaada mkuuMamndenyi njoo huku mama yangu ....Kambona usiku kucha halali ,, huishi ndoton mwake yaan
Njooo mama ....Kijana anakuwaza sana ,, hajawahi kukuona lkn anahisi wewe nikama huyu alovaa nguo nyeupe ..[emoji116] [emoji116].
Tega sikio.
Pamoja sana mkuuHahahaha pamoja sana mkuu busara zako ni zaidi ya msaada mkuu
Mimi navuta subira kwanza hizi sikukuu zipite maana mizinga itakuwa zaidi ya kombora za bwana kiduku KimSema mkuu maana naona watu wanafunguka kwa kiwango cha kuwahi mwaka mpya
Usijari mkuu utamjua. Uzuri wa JF imewakutanisha watu wa aina mbali mbali na mpaka sasa wanafurahia aina ya urafiki walionao mimi nikiwa mmoja wapo. Kila la kheri mkuuSawa mkuu natamani tu kumjua moyo wangu utaridhika aisee
Haha ipo siku nami nitamfungukia mtu humu. Usiogope hiki ndio kipindi kizuri cha kumaliza mwaka na mafanikio ya urafikio[emoji2] [emoji2]Mimi navuta subira kwanza hizi sikukuu zipite maana mizinga itakuwa zaidi ya kombora za bwana kiduku Kim
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] hii kaliMkuu hisia zako zimekimbia zimeacha akili nyuma jitahidi viende kwa pamoja
Mkuu hisia zako zimekimbia zimeacha akili nyuma jitahidi viende kwa pamoja
ThanksYour welcome