Mamndenyi popote ulipo wewe ni zaidi ya mwanamke

Kwani huijui PM wewe...

Kama una maongezi binafsi na mtu, mvutie waya PM sio hadi kila mtu ajue...
 
Kwani huijui PM wewe...

Kama una maongezi binafsi na mtu, mvutie waya PM sio hadi kila mtu ajue...
Kuna cha ajabu hapo ulichokiona kwenye uzi mkuu mpaka unishauri kwenda pm relax nadhani umeoverlook huo uzi
 
Kuna kitu moyoni mwako kinasema sio wa kawaida? Bhasi atakuwa shetani huyu
 
Angekua mwanaume usingewehuka hivyo hata post zake zingekuwaje
Acha mihemko nini kinacho kufanya uhisi nisingeweza fanya hivyo,ndio maana mnashauriwa kabla ya kuandika au kujibu chochote orally fikiri mara mbili
 
Inasadikika yeye ni mwana harakati....yaani mtu wa usalama. Take care mwenzetu, approach with caution.....I hope unapenda kucha zako na huogopi kutupwa Mwabepande.
 
Aliyekwambia dada nani mtake ladhi mapema sana!

Huyu ni mama yako, na kama umechelewa kidogo basi u mjukuu au kitukuu, na ukome kabisa kumwita mdada, mamamkwe wangu huyu..! I love mama mzaa chema.

Mwisho naona unatafuta ugomvi na babu Asprine kumwita mchepuko wake wa uzeeni mdada.[emoji125][emoji125][emoji125] Don't ask me namjua au lah, elewa itakusaidia.
 
Unajua Tz kuendelea ni ngumu sana hivi kwenye hiyo thread kuna sehemu imeandikwa nahitaji mahusiano Ya kimapenzi mbona watu mna fkra za ajabu hivyo.
Wewewwee...

Lakini inawezekana... Mbona kwa mama dangote imewezekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…