Umeona sehemu yoyote nimeandika namwamini shetani? Huwe unasoma na kuelewa weweKama unamwamini shetani nadhani yatakuwa ni mawazo yako wewe na ndugu yako shetani
Hehehehe Mkuu yamekuwa hayo?Dr. KAMBONNA unataka kuwa ben10?
Huyu anataka kukugegeda tuu...Dr. KAMBONNA unataka kuwa ben10?
Kijana anataka kula mzigo huo wa kitu uzimaDr. KAMBONNA unataka kuwa ben10?
Ukiona mwanamke mtu mzima anatafuta vi-Benteni jua ana UKIMWIUwiii mbona unaunguza picha! ILA si mbaya siku hizi wamama na wabibi wanaolewa sana tu. Age ain't nothing but number...
Wewewwee...Unajua Tz kuendelea ni ngumu sana hivi kwenye hiyo thread kuna sehemu imeandikwa nahitaji mahusiano Ya kimapenzi mbona watu mna fkra za ajabu hivyo.