Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Usipangie watu cha kuongea wewe bloodfuken ungeenda PM yakeUsie mjua bora usimzungumzie kijana nadhani utakuwa umenielewa kwa kifupi
Kweli kabisa anaria mbege tuu uko alikoMhusika yupo kwao milimani sijui kama ataona huu ujumbe
Mmhhh watu MNA wivuuuWewewwee...
Lakini inawezekana... Mbona kwa mama dangote imewezekana.
Mkuu umeeleweka kabisa japo naona ulikuwa unaandika kwa jazba na mhemko sio tatizo.Ningependa urudie uzi vizuri na uelewe dhana yake,lkn pia kama kumuita mdada ndio kinacho jaza kifua chako relax young boy ni mambo ya kawaida.Aliyekwambia dada nani mtake ladhi mapema sana!
Huyu ni mama yako, na kama umechelewa kidogo basi u mjukuu au kitukuu, na ukome kabisa kumwita mdada, mamamkwe wangu huyu..! I love mama mzaa chema.
Mwisho naona unatafuta ugomvi na babu Asprine kumwita mchepuko wake wa uzeeni mdada.[emoji125][emoji125][emoji125] Don't ask me namjua au lah, elewa itakusaidia.
Nenda mwisho wa uzi wangu ndipo ujumbe ako ulipo..! Nimesema itakusaidia sasa km wewe ni kilaza usinipotezee muda time is precious!Mkuu umeeleweka kabisa japo naona ulikuwa unaandika kwa jazba na mhemko sio tatizo.Ningependa urudie uzi vizuri na uelewe dhana yake,lkn pia kama kumuita mdada ndio kinacho jaza kifua chako relax young boy ni mambo ya kawaida.
Nenda kabemendwe huko fala weweHaya nashukuru kwa kuwa unajua sana kutukana lkn sidhani kama tusi hilo ni jipya maana nilizaliwa nikalikuta zamani nadhani ungetafuta somethng new ingekuwa vizuri zaidi