Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,142
Oooh! Mamu! 0oh mamuu! We ndo furaha yangu, ooh Mamu! Nimekosa baby wangu... oh Mamu! Unisamehe mke wangu!
Dah! Utakapoisikiliza ngoma hii kwa mara ya kwanza, na kuhakikishia you won't get enough of it. Haijalishi wewe ni mtu unayependa muziki wa aina gani, nakuhakikishia utaipenda! It is very addictive! Ni Singeli! Ndiyo, Singeli lakini ya aina yake, isiyoisha ladha.
Binafsi sikuwa mpenzi wa aina hii ya muziki lakini katika siku za hivi karibuni nimejikuta nikianza kuwaelewa baadh ya wasanii, weka mbali uhuni wao na mengineyo, sikiliza mashairi, sikiliza melody, hakika utakubaliana na mimi kwamba kuna vipaji na miongoni mwa vipaji vikubwa ambavyo kama vikiendelezwa vinaweza kuja kufanya mapinduzi makubwa, ni huyu dogo, anaitwa Meja Kunta!
Ni mdogo ukimtazama lakini ana melody fulani tamu sana! Hebu maneno yasiwe mengi, sikiliza ngoma hii ambayo katika siku za hivi karibuni imegeuka na kuwa national anthem kwenye kumbi za starehe na siyo uswazi tu, hata ushuani! Si watoto na vijana tu wanaoielewa, hata watu wazima na wazee. Ukiisikiliza, itagusa hisia zako! Warning: It's very addictive! Enjoy!
Dah! Utakapoisikiliza ngoma hii kwa mara ya kwanza, na kuhakikishia you won't get enough of it. Haijalishi wewe ni mtu unayependa muziki wa aina gani, nakuhakikishia utaipenda! It is very addictive! Ni Singeli! Ndiyo, Singeli lakini ya aina yake, isiyoisha ladha.
Binafsi sikuwa mpenzi wa aina hii ya muziki lakini katika siku za hivi karibuni nimejikuta nikianza kuwaelewa baadh ya wasanii, weka mbali uhuni wao na mengineyo, sikiliza mashairi, sikiliza melody, hakika utakubaliana na mimi kwamba kuna vipaji na miongoni mwa vipaji vikubwa ambavyo kama vikiendelezwa vinaweza kuja kufanya mapinduzi makubwa, ni huyu dogo, anaitwa Meja Kunta!
Ni mdogo ukimtazama lakini ana melody fulani tamu sana! Hebu maneno yasiwe mengi, sikiliza ngoma hii ambayo katika siku za hivi karibuni imegeuka na kuwa national anthem kwenye kumbi za starehe na siyo uswazi tu, hata ushuani! Si watoto na vijana tu wanaoielewa, hata watu wazima na wazee. Ukiisikiliza, itagusa hisia zako! Warning: It's very addictive! Enjoy!