Man behind shadowy Kenyan firm that took Dar for Sh418bn ride

Man behind shadowy Kenyan firm that took Dar for Sh418bn ride

Hebu soma comment zako kwenye uzi huu hapa, ukisema kwamba GoT wameshapokea hela za korosho kutoka kwa Mutembei na Indopower Solutions.
Eti na tuache kuwaonea wivu. Nilikuambia siku nyingine kwamba I remember everything, everything! https://www.jamiiforums.com/threads...-deal-hapa-kuna-game-inachezwa.1546979/page-3 Hawa jamaa huwa wanajaza server na pumba tupu tu na ujuaji wao mwingiii, wa peni mbili.

Walivyo mazwazwa hawaweki kumbukumbu ya wanachokisema humu, bendera fuata upepo wanatiririka kulingana na maagizo ya pale ccm HQ.
Huyu hapa hata hakumbuki huo Uzi.
 
Ndio maana tunasema kila siku Mkuu anaangushwa sana na wateule wake.
Wateule wananeemeka kwa kumdanganya afurahi
Kuna umuhimu wa kufanya reshuffle munene tuanze upya
 
Back
Top Bottom