MAN CiITY Vs SPURS & ARSENAL Vs MAM UNITED

Oxlade-Chamberlain

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
8,635
Reaction score
2,205
Wakuu wenzangu wa kandanda tujiunge pamoja kama kawaida yetu kwenye mechi hizi mbili kali leo. Mtoto atumwi dukani.

 
Mpira wa City na Spurs ushaanza na una kasi kama kawaida lakini mashambulizi ya maana bado.
 
Kumbe game ya City na Spurs imeanza?? Nilikuwa nimelala ngoja niwahi pub japo kipindi cha pili..

Game liko hewani mkuu , ujakosa mengi mpaka sasa hivi. Shambulizi la maana lilikua moja tu kwa ambalo Friedel aliokoa.
 
Defoe anapiga goli la kizembe sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Man City 2 Spurs 1

game sasa itachangamka.
 
Magoli ya timu zote yamefungwa ndani ya dakika 9, simchezo.

Hawa City wapo wapo tu. Wana mmiss sana Yaya Toure pale kati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…