MAN CiITY Vs SPURS & ARSENAL Vs MAM UNITED

MAN CiITY Vs SPURS & ARSENAL Vs MAM UNITED

Balotelli anafanya hapo uwanjani?!! That's a RED CARD!!
 
Duuuuuuuuh bonge la miss, Bale naona alichelewesha kidogo na pia Defoe kashindwa kuendana na pace ya Bale.
 
ooops! Defoe kachelewa kidogo sana, kila mtu alijua goli lile.
 
Howard katoa penati dakika za mwisho daa, matokeo yalikua mazuri kabisa haya.
 
Halafu watu wanalia eti Manu tu ndio anabebwa,Huyu Baloteli anafanya nini?
 
Kipindi cha pili kilikuwa safi sana,tunaenda Emirates now
 
Nasikia na nyie mna Park,vipi sijawahi hata kumuona uwanjani
 
Back
Top Bottom