Man city will soon start to drop points

Man city will soon start to drop points

Hello wakuu kwema kwanza nikiri kuwa hawa jamaa Man city kwa sasa wapo vizuri ila kwa uzoefu wangu kama mchambuzi nawaona wakianza kuangusha point very soon hazitapita mechi 3 bila wao kupotea either kwa kufungwa au kudraw mark my words
ndio ukabet upate hela Acha kutupigia lamli
 
Mashabiki wa Mama ester utd mna wenge la kugongwa na Bristol city mnadhan kila mtu atagongwa
 
Man City ataongoza kwa muda, raundi ya pili kuanzia January ataanza kupoteza mechi. Ubingwa utakuwa wa CHELSEA.. mark my words. Mwezi wa tano wakati CHELSEA anabeba kombe mtakumbuka maneno yangu. Tena watapishana na Man City kwa "point" moja au mbili.
 
Man City ataongoza kwa muda, raundi ya pili kuanzia January ataanza kupoteza mechi. Ubingwa utakuwa wa CHELSEA.. mark my words. Mwezi wa tano wakati CHELSEA anabeba kombe mtakumbuka maneno yangu. Tena watapishana na Man City kwa "point" moja au mbili.
Nenda ukabet mkuu
 
Hello wakuu kwema kwanza nikiri kuwa hawa jamaa Man city kwa sasa wapo vizuri ila kwa uzoefu wangu kama mchambuzi nawaona wakianza kuangusha point very soon hazitapita mechi 3 bila wao kupotea either kwa kufungwa au kudraw mark my words
Dua ya ....
 
Man City ataongoza kwa muda, raundi ya pili kuanzia January ataanza kupoteza mechi. Ubingwa utakuwa wa CHELSEA.. mark my words. Mwezi wa tano wakati CHELSEA anabeba kombe mtakumbuka maneno yangu. Tena watapishana na Man City kwa "point" moja au mbili.
Una matatizo siyo bure.
 
Man City ataongoza kwa muda, raundi ya pili kuanzia January ataanza kupoteza mechi. Ubingwa utakuwa wa CHELSEA.. mark my words. Mwezi wa tano wakati CHELSEA anabeba kombe mtakumbuka maneno yangu. Tena watapishana na Man City kwa "point" moja au mbili.
Mwambie chelsea apambane na man u kwanza zen ndio amtafute cty ,ukweli ni ngumu kumpata cty kwakua cty anawafunga hao wanaomkimbiza wakati wanaomkimbiza wanafungana
 
Man City ataongoza kwa muda, raundi ya pili kuanzia January ataanza kupoteza mechi. Ubingwa utakuwa wa CHELSEA.. mark my words. Mwezi wa tano wakati CHELSEA anabeba kombe mtakumbuka maneno yangu. Tena watapishana na Man City kwa "point" moja au mbili.
Ahahaaaaaaaaaaah...
Naomba niandike kwa herufi kubwa...
WEWE NI MWEHU..!!!
 
Wewe mtoa mada umesahau ni nini Pep Alikifanya katika vilabu vyote alivyotoka!

Refer ameiachaje Barca na Barca ilikuwaje chini yake!
 
Back
Top Bottom