Salah mane
Member
- Jan 28, 2018
- 15
- 13
Manchester City imeshatuma ofa ya €68m kwa Leicester City kwaajili ya kumsajili winga Riyad Mahrez ambaye Pep Guardiola anaamini atakuwa mbadala wa Leroy Sane.
Leroy Sane ameumia kwenye mchezo wa FA Cup wikiendi iliyopita ambapo atakaa nje kwa wiki 7 hadi 9 .
Via
France Football
Leroy Sane ameumia kwenye mchezo wa FA Cup wikiendi iliyopita ambapo atakaa nje kwa wiki 7 hadi 9 .
Via
France Football