T tinkibiruka mhaya JF-Expert Member Joined Jul 28, 2016 Posts 929 Reaction score 794 Aug 25, 2016 #101 Guasa Amboni said: Kile chuma sijui kivimba macho khatari sana kile kilinung'unika mule huku kinatikisa kichwa ilikuwa burdan. Click to expand... Sana yaan
Guasa Amboni said: Kile chuma sijui kivimba macho khatari sana kile kilinung'unika mule huku kinatikisa kichwa ilikuwa burdan. Click to expand... Sana yaan
T tinkibiruka mhaya JF-Expert Member Joined Jul 28, 2016 Posts 929 Reaction score 794 Aug 25, 2016 #102 Mrs Van said: Hahaaaaa mkuu hiko kitakua kituko cha mwaka. Kwanza haiji Click to expand... Yaan jaman haya mambo yanachekesha hahaha
Mrs Van said: Hahaaaaa mkuu hiko kitakua kituko cha mwaka. Kwanza haiji Click to expand... Yaan jaman haya mambo yanachekesha hahaha
bbwaoy JF-Expert Member Joined Apr 17, 2015 Posts 466 Reaction score 468 Aug 28, 2016 #103 Badala uombe ushauri wa nini chakufanya ili uendelee kudumu ndio kwanza una tishia watu/ wasanii wenzako watafute kazi nyingine.... Kumbukumbu zangu zina niambia"" wasanii wote wanao jitapa, walio wahi kujitapa" walisha potea muda mrefu sana...
Badala uombe ushauri wa nini chakufanya ili uendelee kudumu ndio kwanza una tishia watu/ wasanii wenzako watafute kazi nyingine.... Kumbukumbu zangu zina niambia"" wasanii wote wanao jitapa, walio wahi kujitapa" walisha potea muda mrefu sana...