Man Fongo: Singeli tunachukua soko la muziki sasa, wasanii wa bongo fleva watafute kazi nyingine

Man Fongo: Singeli tunachukua soko la muziki sasa, wasanii wa bongo fleva watafute kazi nyingine

Badala uombe ushauri wa nini chakufanya ili uendelee kudumu ndio kwanza una tishia watu/ wasanii wenzako watafute kazi nyingine.... Kumbukumbu zangu zina niambia"" wasanii wote wanao jitapa, walio wahi kujitapa" walisha potea muda mrefu sana...
 
Back
Top Bottom