Man kills his girlfriend because she refused to marry him after sponsoring her University studies

Man kills his girlfriend because she refused to marry him after sponsoring her University studies

roselina john

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2017
Posts
758
Reaction score
945
Man kill his girlfriend because she refused to marry him after he sponsored her in the university for 5years.
Girls don't eat what you can not payback.
Don't say Yes with your mouth
But Say Yes with your mind.

FB_IMG_1513840431333.jpg

FB_IMG_1513840427614.jpg
 
Man kill his girlfriend because she refused to marry him after he sponsored her in the university for 5years.
Girls don't eat what you can not payback.
Don't say Yes with your mouth
But Say Yes with your mind.
hata mimi naua,

japo siwezi kufika huko kwa sababu mchumba hasomeshwi.. mwanamke ukitaka umsomeshe mzalishe kwanza ,, manake akikukimbia wanao watafaidi. ila mchumba hasomeshwi. pumbavu
 
Aisee

Wanawake wenye tabia hizi muache kabisa
 
Mnaosomeshwa mjifunze hapa,mtu anapokusomesha hali ukijua sio baba yako wala ndugu yako wa damu usitegemee kingine ila kuja kuitumikia kwa ufasaha "fimbo yake kubwa" labda akukatae mwenyewe,unaona hutaki mwambie mapema na hela sasaivi ilivyokuwa ngumu umzingue mtu nakuhakikishia hiko kichwa kitakuwa halali yake.
 
Huu ni upuuzi kwa kiasi fulani hasa kwangu mimi..

Wote wanaotenda mambo kama hya, ama kujiua wenyewe kisa mapenzi ama kufeli mitihani na mfanano wa hayo, kwanza akilini mwao wanakuwa na jibu la aina moja, kama ni mtihani basi ye anakuwa anaamin katika kufaulu 100% hafikirii kama kuna lolote linatokea

So hapo jamaa yangu ye aliweka imani kwa mwanamke 100% kitu ambacho si sahihi unamuamin vipi binadamu mwenzio kwa 100%.. hata mama zetu kuna kipindi wanatuongopea(japo kwa lengo zuri) ile kunuwa eeh, kunywa baba, dawa tamu ee.. ila ukiyanywa ni machungu, sas ndio iweje ukamuamin mtu baki asiejua hata uchungu wako..

Narudia tena, ukimsomesha mwanamke moyoni amini upo unamsaidia mtu baki tu, suala la mapenzi ni uamuzi wake na muda wowote yaweza kubinuka tikitaka..
Sasa ona anaenda kuozea jela, ndoto zake, mipango yake na habar zake zote zimekomea hapo.. inatia uchungu saana.
 
That man did a 'right thing'... I hope hata Mungu atamsamehe kwa kitendo alichokifanya.
Wanawake wengi wamegeuka kuwa matapeli huku wakicheza na hisia za wanaume wanaowekeza kwao.
Just imagine mtu unamtumia nauli dem atoke mkoani kuja kukusalimia tena unamtumia nauli ya ndege alafu baada ya kupokea hela, anakwambia eti mara sijui kanyimwa ruhusa, mara eti sijui kaahirisha safari na sababu kibao, kwa nini mambo hayo anapoyasema asirudishe ile ela yako ya nauli uliyomtumia au kwa nini asikatae kuipokea? Huu ni utapeli wa hisia, tena ni utapeli wa hali ya juu...
 
Back
Top Bottom