roselina john
JF-Expert Member
- Aug 17, 2017
- 758
- 945
- Thread starter
-
- #21
MmmmmThat man did a 'right thing'... I hope hata Mungu atamsamehe kwa kitendo alichokifanya.
Wanawake wengi wamegeuka kuwa matapeli huku wakicheza na hisia za wanaume wanaowekeza kwao.
Just imagine mtu unamtumia nauli dem atoke mkoani kuja kukusalimia tena unamtumia nauli ya ndege alafu baada ya kupokea hela, anakwambia eti mara sijui kanyimwa ruhusa, mara eti sijui kaahirisha safari na sababu kibao, kwa nini mambo hayo anapoyasema asirudishe ile ela yako ya nauli uliyomtumia au kwa nini asikatae kuipokea? Huu ni utapeli wa hisia, tena ni utapeli wa hali ya juu...
wanawake dawa yao ni kutafuna na kusepa toka lini kunguru akafugika?Eehh asee afu inaonyesha ni kenyans hawa!
wanawake wasaliti sana aseee pia wabinafsi kupitiliza.
acaha ujinga wewe hio pesa bora upeleke baaYaani navyoona hvi na January natakiwa ntoe kama 1.2 ndo hapo najiuliza sjui niache .
Wanatutesa sana hawa watu kwakwelli...bas tuMnaosomeshwa mjifunze hapa,mtu anapokusomesha hali ukijua sio baba yako wala ndugu yako wa damu usitegemee kingine ila kuja kuitumikia kwa ufasaha "fimbo yake kubwa" labda akukatae mwenyewe,unaona hutaki mwambie mapema na hela sasaivi ilivyokuwa ngumu umzingue mtu nakuhakikishia hiko kichwa kitakuwa halali yake.
Yanaumiza, then usilinganishe moyo wako na wa mtu mwingine...Haya mambo yalipelekea manabii wetu kufanya mambo ya kishenzi sana na kisa kutugharimu maisha yetu....we acha tu, usiusemee moyo wa mwenzako bhana.Huu ni upuuzi kwa kiasi fulani hasa kwangu mimi..
Wote wanaotenda mambo kama hya, ama kujiua wenyewe kisa mapenzi ama kufeli mitihani na mfanano wa hayo, kwanza akilini mwao wanakuwa na jibu la aina moja, kama ni mtihani basi ye anakuwa anaamin katika kufaulu 100% hafikirii kama kuna lolote linatokea
So hapo jamaa yangu ye aliweka imani kwa mwanamke 100% kitu ambacho si sahihi unamuamin vipi binadamu mwenzio kwa 100%.. hata mama zetu kuna kipindi wanatuongopea(japo kwa lengo zuri) ile kunuwa eeh, kunywa baba, dawa tamu ee.. ila ukiyanywa ni machungu, sas ndio iweje ukamuamin mtu baki asiejua hata uchungu wako..
Narudia tena, ukimsomesha mwanamke moyoni amini upo unamsaidia mtu baki tu, suala la mapenzi ni uamuzi wake na muda wowote yaweza kubinuka tikitaka..
Sasa ona anaenda kuozea jela, ndoto zake, mipango yake na habar zake zote zimekomea hapo.. inatia uchungu saana.
he was right. kapoteza pesa zake bureBut.he.was.not supposed to kill
ᴉpᴉɐz ɐɐlɐɟ opu ǝM ˙˙¿ᴉdᴉl ɐʍʞ ɐlɐℲHilo jamaa fala sana.
Yan ni hatar sana ndugu... Mwanamke unaweza ulamtolea posa na mahari lkn bdo akakugeuka bila shida yoyoteThat man did a 'right thing'... I hope hata Mungu atamsamehe kwa kitendo alichokifanya.
Wanawake wengi wamegeuka kuwa matapeli huku wakicheza na hisia za wanaume wanaowekeza kwao.
Just imagine mtu unamtumia nauli dem atoke mkoani kuja kukusalimia tena unamtumia nauli ya ndege alafu baada ya kupokea hela, anakwambia eti mara sijui kanyimwa ruhusa, mara eti sijui kaahirisha safari na sababu kibao, kwa nini mambo hayo anapoyasema asirudishe ile ela yako ya nauli uliyomtumia au kwa nini asikatae kuipokea? Huu ni utapeli wa hisia, tena ni utapeli wa hali ya juu...
Gaudensia ndugu yangu, huo bado ni upuuzi tu, hakuna excuse kwa hilo.Yanaumiza, then usilinganishe moyo wako na wa mtu mwingine...Haya mambo yalipelekea manabii wetu kufanya mambo ya kishenzi sana na kisa kutugharimu maisha yetu....we acha tu, usiusemee moyo wa mwenzako bhana.
Wanakimbiwa walooa kabisa na wana watoto sembuse ulomzalisha!! Kumzalisha sio guarantee pia my kaka. Ukitaka usikimbiwe basi PENDWA.hata mimi naua,
japo siwezi kufika huko kwa sababu mchumba hasomeshwi.. mwanamke ukitaka umsomeshe mzalishe kwanza ,, manake akikukimbia wanao watafaidi. ila mchumba hasomeshwi. pumbavu
Soma tena post yangu.Wanakimbiwa walooa kabisa na wana watoto sembuse ulomzalisha!! Kumzalisha sio guarantee pia my kaka. Ukitaka usikimbiwe basi PENDWA.
Ha ha ha hyo ni bikoThat man did a 'right thing'... I hope hata Mungu atamsamehe kwa kitendo alichokifanya.
Wanawake wengi wamegeuka kuwa matapeli huku wakicheza na hisia za wanaume wanaowekeza kwao.
Just imagine mtu unamtumia nauli dem atoke mkoani kuja kukusalimia tena unamtumia nauli ya ndege alafu baada ya kupokea hela, anakwambia eti mara sijui kanyimwa ruhusa, mara eti sijui kaahirisha safari na sababu kibao, kwa nini mambo hayo anapoyasema asirudishe ile ela yako ya nauli uliyomtumia au kwa nini asikatae kuipokea? Huu ni utapeli wa hisia, tena ni utapeli wa hali ya juu...