Watabeba tu kuwa na subiraSasa si ndio kunikimbia?
Unadhani arsenal watabeba kombe lini
Ndo wapi huko? Ntavaa hot pant matata kabisa. Sema unilinde maanaTwende kwa wolper ? Ila masharti uvae kichupi
Ukilewa tu tunaondokaNdo wapi huko? Ntavaa hot pant matata kabisa. Sema unilinde maana
Ili ukanitafune eeh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. SidanganyikiiiUkilewa tu tunaondoka
[emoji120]Usiache...ila akili yako iwe tayari kW lolote yaan chukulia kama unatoa msaada...don't expect love n return
Kutafunana ni mambo ya mpito tuIli ukanitafune eeh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Sidanganyikiii
Usimpotezeee mwenzioo..!! Mzee usitoeee achaa ufalaa etiiii..bora untumiee mzazi.wako kijijiniUsiache...ila akili yako iwe tayari kW lolote yaan chukulia kama unatoa msaada...don't expect love n return
Haya basi twendage huko kwa JackKutafunana ni mambo ya mpito tu
[emoji2] [emoji2] [emoji23] umenichekesha hiyo miba iote kwa ndani au nje ya papuch??Angemroga awe papuchi iwe Na miba
Haswaa! Hii inawagharimu wengiTamaa mbele mauti nyuma
Wanaume sio matapeli wa mapenzi??? Acha akaozee jela...kuua mtu sio sifa ila nasisitiza mchumba hasomeshwii...That man did a 'right thing'... I hope hata Mungu atamsamehe kwa kitendo alichokifanya.
Wanawake wengi wamegeuka kuwa matapeli huku wakicheza na hisia za wanaume wanaowekeza kwao.
Just imagine mtu unamtumia nauli dem atoke mkoani kuja kukusalimia tena unamtumia nauli ya ndege alafu baada ya kupokea hela, anakwambia eti mara sijui kanyimwa ruhusa, mara eti sijui kaahirisha safari na sababu kibao, kwa nini mambo hayo anapoyasema asirudishe ile ela yako ya nauli uliyomtumia au kwa nini asikatae kuipokea? Huu ni utapeli wa hisia, tena ni utapeli wa hali ya juu...
Bado nasoma unaweza ukajitolea na kwangu piaAsante mamaa hata ww ukitaka kusoma niambie