chinekeeee
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,787
- 2,894
unasomea nini na na chuo gani ?na je hili ulisha litatua?Bado nasoma unaweza ukajitolea na kwangu pia
NI IT plaza posta..Haya basi twendage huko kwa Jack
IT plaza High Spirit au kunaa kaeneo kengine ka bata?NI IT plaza posta..
Mkuu unajarib sumu kwa kuilamba?Yaani navyoona hvi na January natakiwa ntoe kama 1.2 ndo hapo najiuliza sjui niache .
a6unasomea nini na na chuo gani ?na je hili ulisha litatua?
Naomba msaada; Mchumba hataki mimi niende kusoma
Yaani navyoona hvi na January natakiwa ntoe kama 1.2 ndo hapo najiuliza sjui niache .
Acha ujinga wewe..acha kuingilia majukumu ya babakeYaani navyoona hvi na January natakiwa ntoe kama 1.2 ndo hapo najiuliza sjui niache .
Akiilipa na kusalitiwa akae kimya tu.. Mchumba hasomeshwiAcha ujinga wewe..acha kuingilia majukumu ya babake
We jukumu lako kutomba...basiii..mengine ujinga
Mkuu familia zetu za kiafrica si unazijua lakn, mzee hana kitu ...thn next time tumia tafsdaAcha ujinga wewe..acha kuingilia majukumu ya babake
We jukumu lako kutomba...basiii..mengine ujinga
HahahaHalafu polisi wamemkamata huyo jamaa kwa kumuua jambazi?
I beg to differ. No killing of a human being by another human being is justified.you can't blame him, he has invested a lot of money in her and at the end she betrays him. he was right. these hoes ain't loyal
Pole yake. Kwani hakuwa na ndugu na jamaa wa kuwasomesha? Lomolomo alisema "Cheka nae kula nae lakini nimezaa nae!"MCHUMBA HASOMESHWI