Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
we paka unaongea niniTofautisha Kushangilia GOLI na Kushangilia DRAW...
Sisi Kwa Mtibwa Hatukushangilia Kutoka Sare, Bali Tulishangilia Kufungwa Goli...
Lakini Baada Ya Mchezo Tulihuzunika Kudrop Point Kwa Mtibwa kama Tulivyohuzunika Jana Kupoteza Points Kwa Timu Ndogo Kama Yanga....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sipati picha umeandika ukiwa na hisia ganiwe paka unaongea nini
Tofautisha Kushangilia GOLI na Kushangilia DRAW...
Sisi Kwa Mtibwa Hatukushangilia Kutoka Sare, Bali Tulishangilia Kufungwa Goli...
Lakini Baada Ya Mchezo Tulihuzunika Kudrop Point Kwa Mtibwa kama Tulivyohuzunika Jana Kupoteza Points Kwa Timu Ndogo Kama Yanga....
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni nyang'au tu ndo atabisha... jamaa kapiga kazi sana..
Yanga walilamba dume kwa Ajib.Hizo Billioni moja kina Hans Pope na Kaburu wamezitafuna sioni thamani ya hizo pesa kwa kikosi cha Simba.
Pia Yanga walitumia busara kuachia Niyozima aondoke hana thamani hiyo na angebaki angekosa namba.
Okwi akibanwa hakuna kitu
Tofautisha Kushangilia GOLI na Kushangilia DRAW...
Sisi Kwa Mtibwa Hatukushangilia Kutoka Sare, Bali Tulishangilia Kufunga Goli...
Lakini Baada Ya Mchezo Tulihuzunika Kudrop Point Kwa Mtibwa kama Tulivyohuzunika Jana Kupoteza Points Kwa Timu Ndogo Kama Yanga....
Sio shenzi tu hawa ,, wanabahati kabisa mbwa hawaKiller pass ya Busitwa naonaga Modric akizipiga..mna bahati shenzi nyie..Ngoma,Tambwe,Kamusoko wangekuwepo SAA moja mngelala
Midfield namba nane anapokosa assist hadi mechi ya nane inastua na kutisha ndugu.Kwahiyo Vile Munapomdiscuss Niyonzima Kuwa Tokea Aje Simba Hana Goli Huwa Hamujui Kama Kazi Ya Midfield ni Kuunganisha Timu na si Lazima Kufunga au?
Mutafikiri Kwa Kutumia Makalio mpaka lini????
Weka takwimu sake hapa. Kapiga pasi ngapi za uhakika? Kaaintercept Paso ngapi? Kafunga goli ngapi? Kafanya tackles ngapi? Kina Xavi walikuwa wanapiga pasi 850 kwenye mechi 1 na wanakimbia hadi kilometa 20 ndani ya mechi 1 usiniambie tshimbi wenu kapiga pasi 15 tu na ametembea mita 3000 tu kwenye hii mechi. Tuache ukanjanjaNi nyang'au tu ndo atabisha... jamaa kapiga kazi sana..
Atajwa kuwa ni nyota wa mchezo
Ulianza vizuri na ukaonekana uko serious, ila ulivyomalizia na hiyo mistari minne ya mwisho umeonekana unafanya utani.Tofautisha Kushangilia GOLI na Kushangilia DRAW...
Sisi Kwa Mtibwa Hatukushangilia Kutoka Sare, Bali Tulishangilia Kufunga Goli...
Lakini Baada Ya Mchezo Tulihuzunika Kudrop Point Kwa Mtibwa kama Tulivyohuzunika Jana Kupoteza Points Kwa Timu Ndogo Kama Yanga....
Goli la Chirwa lilianzia kwa Ajibu.Kwani Ajib Alikuwepo?
Kigazeti cha udaku wa Soka hiki. Vipo viwili. Kimoja Msimbazi kingine Jangwani. Vyote ni utumbo mtupu