Saw tumekusikia Jana pia si mlisema Sheffield United anakaa tukanyamaza time will tell
Match ina matokeo matatu mkuu,,,kushinda,kufungwa na draw.. So ni kawaida mkuu..Kama mko on fire vipi mbona mmeshindwa kuingia top 4 leo.
Uwezo wenu mdogo sana na wachezaji wenu wamechoka tayari.
Match ina matokeo matatu mkuu,,,kushinda,kufungwa na draw.. So ni kawaida mkuu..
Uwezo mdogo kivipi na je msimu umeisha?Vipi mbona mmeshindwa kuwafunga Southampton?
Kelele nyingi kumbe uwezo mdogo.
OkNa maanisha uwezo mdogo ndio maana mmeshindwa kufunga Southampton licha ya kuwa mpo home.
Ukiangalia kwa makini,,, man u bado ana nafasi nzr ya kutinga 4 bora,,mechi ngumu kwetu ni west Ham.. Na sio leceister city,, au crystal palace na tofauti ya point ni moja tu kuifikia Chelsea..Halafu ninyi man u mliposikua city wameshinda rufaa yao mkaanza kushangilia na kuizodoa Chelsea mkuamini mtashinda match zote.
Ila mjue bado kuna crystal palace siyo timu rahisi kama mnavyodhani.Wakati huo huo Leicester city wanawasubiri.Vyovyote itakavyokuwa bado Chelsea ana faida.
Mnazungumzia match yake na Liverpool lakini hamjui kuwa Liverpool sio tishio kwa Chelsea kama inavyowatisha ninyi.Hapo wolves ndio kuna shida kidogo.
Ukiangalia kwa makini,,, man u bado ana nafasi nzr ya kutinga 4 bora,,mechi ngumu kwetu ni west Ham.. Na sio leceister city,, au crystal palace na tofauti ya point ni moja tu kuifikia Chelsea..
Wakati Chelsea ana mechi na Norwich,Liverpool na Wolverhampton.. So bado Chelsea ana nafasi ya kushindwa mechi zake 2 kati ya hizo..man u top 4 ni lazima
Hyo Chelsea ni Mara ngapi wahuni wamevunja daraja?Mechi nyingi mpo ugenini mechi ambayo ambayo ngumu uko nyumbani ,ambayo hiyo mechi unasema hauna uhakika nayo.
Chelsea mechi na Liverpool lazima apoteze maana yupo ugenini hapo anfield Liverpool ajafungwa kwenye ligi anamwaka wa 3 sasa.
Chelsea Mechi na wolves na norwich ,chelsea yupo nyumbani anawezakushinda.