Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,918
- 20,037
- Thread starter
- #21
Saw tumekusikia Jana pia si mlisema Sheffield United anakaa tukanyamaza time will tell
Mmeshindwa kuwafunga southampton japo nilikuwa nyumbani,uwezo wenu mdogo sana,muda ndio umetuambia hivyo. Sasa mmebaki kwenye nafasi yenu pendwa ya 5[emoji3].