JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mambo yanazidi kuwa magumu kwa Manchester United, ndivyo ilivyo kwa kocha mpya wa timu hiyo, Erik ten Hag, ni baada ya kukubali kichapo cha magoli 4-0 dhidi ya Brentford, leo Agosti 13, 2022.
Huo unakuwa ni mchezo wa pili mfululizo kwa timu hiyo kupoteza katika Premier League msimu huu, ambapo hali ilikuwa mbaya zaidi kipindi cha kwanza ambapo hadi kinakamilika #ManUnited ilikuwa nyuma kwa magoli 4-0.
Licha ya kuanza na Cristiano Ronaldo kama mshambuliaji wa katik, bado safu ya ushambuliaji ya United imeshindwa kufunga bao tangu kuanza kwa Premier.
Huo unakuwa ni mchezo wa pili mfululizo kwa timu hiyo kupoteza katika Premier League msimu huu, ambapo hali ilikuwa mbaya zaidi kipindi cha kwanza ambapo hadi kinakamilika #ManUnited ilikuwa nyuma kwa magoli 4-0.
Licha ya kuanza na Cristiano Ronaldo kama mshambuliaji wa katik, bado safu ya ushambuliaji ya United imeshindwa kufunga bao tangu kuanza kwa Premier.