Man United mkitoboa hapa,mpeni Ole mkataba wa maisha

Watatoboa. Wana players wazuri tu. Tatizo la mourinho ilikuwa kufocus on strenghs of other teams na kujaribu kuwazuia tuuu bila kujaribu kutumia vipaji alivyonavyi kuwadhuru wapinzani. I think Ole yeye kafocus kwenye team yake kushambulia huku akibalance na ulinzi
 
Well said na hilo ndo lilikua tatizo kubwa la mourinho na especially kwenye mechi kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…