Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,039
- 6,253
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well said na hilo ndo lilikua tatizo kubwa la mourinho na especially kwenye mechi kubwa.Watatoboa. Wana players wazuri tu. Tatizo la mourinho ilikuwa kufocus on strenghs of other teams na kujaribu kuwazuia tuuu bila kujaribu kutumia vipaji alivyonavyi kuwadhuru wapinzani. I think Ole yeye kafocus kwenye team yake kushambulia huku akibalance na ulinzi
Hao PSG wapesi sana sema ukiingia kwa kuogopa majina unakula za uso