Huyu refa sasa anataka kuharibu mpira yellow card kwa Torres!
Liverpool players need to calm down, naona kama huu mchezo utakua mbaya sana kutokana na poor men management
Nyie mambo bado masaa machache tu usitie hofu ila bosi wa Blackburn ni rafiki wa fergi.
hapa ushabiki ndio unaendelea hakuna unazi,wewe kama mshabiki weka hayo ya upande mwingine ambayo unaona watu hawazungumzii hili jukwaa lichangamke.acheni unazi...dont be one-eyed supporters
mkuu ni kweli kabisa... hali si hali aisee...Bwawa la maini wasipoangalia, Red card inanukia! Harold Webb leo kaamua kuweka unazi wake hadharani!
Tensions kama hizi halafu hamna hata mchezaji mmoja wa Manure alonyoshewa japo kidole?
2taufunga mdomo wako; bila shaka hasa baada ya kupata kichapo kutoka kwa luzaful nac tukimpiga huyu rafiki wa fergi!!!
Manure mmezidi kubebwa bana kwani wewe huangalii huu mpira?
shit again... 2-1 congrats manure
babel na benayoun hawa ndio wachezaji na waogopa liverpool plus torres.babel na benayoun ni wazuri sana kwenye kushambulia wanajua kuhold mpira.i am hopping rafa will make some changes, coz i really dont know what lucas is doing in that field
timu yako si man united lool au unajificha kwanza mpaka dakika 90 ili ushangilie vizuri?Mpira ni mkali na unavutia kuangalia ,lakini kutabiri mshindi wa leo dah