Man United yaingia Fainali ya FA kwa matuta 4-2

Man United yaingia Fainali ya FA kwa matuta 4-2

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Licha ya Manchester United kuongoza kwa magoli 3-0 hadi dakika ya 70 dhidi ya Timu ya Coventry City inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza (Championship) lakini hadi dakika ya 90 zinakamilika matokeo yalikuwa sare ya magoli 3-3.

Baada ya kuongeza dakika 30 za nyongeza katika Nusu Fainali hiyo ya Kombe la FA, hakukuwa na mshindi ndipo mchezo ukaamuliwa kwa matuta na Man United kushinda kwa penati 4-2.

Hivyo, mchezo wa fainali utapigwa Mei 25, 2024 ukizikutanisha Manchester City dhidi ya Man United kwenye Uwanja wa Wembley Jijini London, England
 
Hapo muujiza utokee tu... Man u huyu kuchukua FA ni bonge la mtihani tena dhidi ya Man city shughuli pevu
 
𝐁𝐨𝐫𝐚 𝐒𝐢𝐦𝐛𝐚𝐒𝐂
 
Mashabiki wa Man U shikamooni bhana. 🙌🏽 🙌🏽
 
Timu imenishangaza sn hii jana.Yani inaongoza goli 3 then zinarudi? Halafu et na Coventry!?

Hivi tunaweza cheza na Madrid kwaeli?
 
Back
Top Bottom