JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Licha ya Manchester United kuongoza kwa magoli 3-0 hadi dakika ya 70 dhidi ya Timu ya Coventry City inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza (Championship) lakini hadi dakika ya 90 zinakamilika matokeo yalikuwa sare ya magoli 3-3.
Baada ya kuongeza dakika 30 za nyongeza katika Nusu Fainali hiyo ya Kombe la FA, hakukuwa na mshindi ndipo mchezo ukaamuliwa kwa matuta na Man United kushinda kwa penati 4-2.
Hivyo, mchezo wa fainali utapigwa Mei 25, 2024 ukizikutanisha Manchester City dhidi ya Man United kwenye Uwanja wa Wembley Jijini London, England
Baada ya kuongeza dakika 30 za nyongeza katika Nusu Fainali hiyo ya Kombe la FA, hakukuwa na mshindi ndipo mchezo ukaamuliwa kwa matuta na Man United kushinda kwa penati 4-2.
Hivyo, mchezo wa fainali utapigwa Mei 25, 2024 ukizikutanisha Manchester City dhidi ya Man United kwenye Uwanja wa Wembley Jijini London, England