Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Yale matatizo sugu ya Man Utd kesho jumamosi yatarudi upya wakati Chelsea itakapoialika Man Utd katika uwanja wake wa Stamford Bridge.
Ikumbukwe kocha Jose Mourinho wa Man Utd amekalia kuti kavu, na kesho anaenda kukutana na timu yake ya zamani iliyo katika fomu ya hatari.
Nani wa kuzuia movement za Jorginho pale kati? Wanasema Jorginho ni sigara ya pili ya Kocha Mauricio Sarri. Jorginho ndio anafanya timu nzima ya Chelsea inatiki.
Eden Hazard atazuiwa na nani? Utamu mwingine wa mechi hii utakuwa hapo. Kumtazama Hazard akiwa anacheza ni sawa na kumchungulia Beyonce akiwa anaoga, inafurahisha.
Kitu pekee Man Utd watajivunia kesho ni kupaki karandinga, sio basi tena. Kesho formation ya Man Utd itakuwa 7-3-0
Jose Mourinho hajawahi kupata walau saee anapotembelea Stamford Bridge. Hivyo anaelewa vyema ugumu wa mechi hiyo.
Kila la heri, The Blues, Keeping The Blue Flag Flying High. Tukutane kwanzia saa 8:30 kwa saa za Afrika Mashariki.
Ikumbukwe kocha Jose Mourinho wa Man Utd amekalia kuti kavu, na kesho anaenda kukutana na timu yake ya zamani iliyo katika fomu ya hatari.
Nani wa kuzuia movement za Jorginho pale kati? Wanasema Jorginho ni sigara ya pili ya Kocha Mauricio Sarri. Jorginho ndio anafanya timu nzima ya Chelsea inatiki.
Eden Hazard atazuiwa na nani? Utamu mwingine wa mechi hii utakuwa hapo. Kumtazama Hazard akiwa anacheza ni sawa na kumchungulia Beyonce akiwa anaoga, inafurahisha.
Kitu pekee Man Utd watajivunia kesho ni kupaki karandinga, sio basi tena. Kesho formation ya Man Utd itakuwa 7-3-0
Jose Mourinho hajawahi kupata walau saee anapotembelea Stamford Bridge. Hivyo anaelewa vyema ugumu wa mechi hiyo.
Kila la heri, The Blues, Keeping The Blue Flag Flying High. Tukutane kwanzia saa 8:30 kwa saa za Afrika Mashariki.