Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
Kwenye pita pita zangu leo mitandaoni nilifanikiwa kuingia kwenye page ya Sky Sport ya Instagram, Source ya michezo ambayo naiamini kuliko zote. Achana na hao wakina Shafii Dauda, maana kwenye page zao wamejaza ushabiki.
Kuna taarifa ya usajili nimeiona inayowahusu Man Utd kukaribia kufanya uhamisho wa mchezaji wa Sporting Lisbon, Bruno Fernandez.
Kwa upande wangu huu usajili naona hauna tija kabisa kwa Man Utd. Nilikuwa naamini hivyo tangu mara ya kwanza wahusishwe na kiungo huyo.
Ninachokijua kuhusu Bruno, kwamba ni kiungo mmoja wa kawaida sana. Amejaaliwa skills ndogo ndogo za kuchezea mpira lakini sidhani kama ndio sababu ya kumfanya aweze kufanya vizuri kwenye soka la uingereza. Kwangu mimi sioni tofauti aliyonayo yeye na Fred. Tena inawezekana Fred akawa ni mzuri zaidi kuliko Bruno.
Hatujui lakini mwisho wa siku itakuwaje, kila mtu na kismati chake.
By the way, we all wish him lucky!!
Kuna taarifa ya usajili nimeiona inayowahusu Man Utd kukaribia kufanya uhamisho wa mchezaji wa Sporting Lisbon, Bruno Fernandez.
Kwa upande wangu huu usajili naona hauna tija kabisa kwa Man Utd. Nilikuwa naamini hivyo tangu mara ya kwanza wahusishwe na kiungo huyo.
Ninachokijua kuhusu Bruno, kwamba ni kiungo mmoja wa kawaida sana. Amejaaliwa skills ndogo ndogo za kuchezea mpira lakini sidhani kama ndio sababu ya kumfanya aweze kufanya vizuri kwenye soka la uingereza. Kwangu mimi sioni tofauti aliyonayo yeye na Fred. Tena inawezekana Fred akawa ni mzuri zaidi kuliko Bruno.
Hatujui lakini mwisho wa siku itakuwaje, kila mtu na kismati chake.
By the way, we all wish him lucky!!