na nyinyi Arsenal mwaka huu vipi..naona mnaongelea man U tu. au timu zenu hazishindaniManyumbu United.. Msimu huu wanatoka Kapa
Hunishindi mimi aisee...!!!Huwa nina enjoy sana hawa jamaa wakifungwa.
Anaweza akatoa kafara uefa akaenda WC huyu jamaa ni kitu nyingineNaweza kusema uingereza akatoka mtupu... Ila naamini UEFA atafanya maajabu baada ya kuona uingereza hana kitu kama msimu ulopita. Alitoa kafara top 4 ili achukua EUROPA na aingie UEFA kupitia njia hio
Man united hakuna mzima
Kombe pekee walilokuwa wana nafasi ya kushinda ni lile la Carabao Cup ambalo wameondoshwa jana baada ya kufungwa 2-1 na Bristol City ya daraja la kwanza.
Hivyo amebaki kwenye Michuano ya Ligi ambapo yupo nyuma ya point 11 dhidi ya vinara Man City, Kwenye Uefa Champions League hapa nisiwe mnafiki Man Utd hana kikosi cha kupambana na timu kubwa kwenye Uefa. Na michuano ya mwisho ni ya Kombe la F.A ambayo simpi nafasi ya kufanya vyema.
Hivyo msimu huu Man Utd watamaliza msimu bila kunyanyua makwapa licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa wa kutumia pesa nyingi katika usajili wa wachezaji kama Lindelof, Lukaku na Matic.
Poleni Man Utd wenzangu!
....[emoji23] mi timu KibaHa ha ha ha muwe mnajitambulisha kwanza nyie ni timu gani kabla hamjaongea carbondioxide
Nimecheka sana mkuuMama ester utd nayo timu sasa, pale kuna mkusanyiko wa wakimbiaji uwanjan
Arsenal bana yaani mmekuwa wapenzi watazamaji na watabiri sasaKombe pekee walilokuwa wana nafasi ya kushinda ni lile la Carabao Cup ambalo wameondoshwa jana baada ya kufungwa 2-1 na Bristol City ya daraja la kwanza.
Hivyo amebaki kwenye Michuano ya Ligi ambapo yupo nyuma ya point 11 dhidi ya vinara Man City, Kwenye Uefa Champions League hapa nisiwe mnafiki Man Utd hana kikosi cha kupambana na timu kubwa kwenye Uefa. Na michuano ya mwisho ni ya Kombe la F.A ambayo simpi nafasi ya kufanya vyema.
Hivyo msimu huu Man Utd watamaliza msimu bila kunyanyua makwapa licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa wa kutumia pesa nyingi katika usajili wa wachezaji kama Lindelof, Lukaku na Matic.
Poleni Man Utd wenzangu!
Kama Simba tu.Kombe pekee walilokuwa wana nafasi ya kushinda ni lile la Carabao Cup ambalo wameondoshwa jana baada ya kufungwa 2-1 na Bristol City ya daraja la kwanza.
Hivyo amebaki kwenye Michuano ya Ligi ambapo yupo nyuma ya point 11 dhidi ya vinara Man City, Kwenye Uefa Champions League hapa nisiwe mnafiki Man Utd hana kikosi cha kupambana na timu kubwa kwenye Uefa. Na michuano ya mwisho ni ya Kombe la F.A ambayo simpi nafasi ya kufanya vyema.
Hivyo msimu huu Man Utd watamaliza msimu bila kunyanyua makwapa licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa wa kutumia pesa nyingi katika usajili wa wachezaji kama Lindelof, Lukaku na Matic.
Poleni Man Utd wenzangu!
Arsenal bana yaani mmekuwa wapenzi watazamaji na watabiri sasa
Wewe uoni tupo hatua gan?na nyinyi Arsenal mwaka huu vipi..naona mnaongelea man U tu. au timu zenu hazishindani
duuhMama ester utd nayo timu sasa, pale kuna mkusanyiko wa wakimbiaji uwanjan
mtachukua f.a cup lakini mpaka man city ajitoe kushirikiUngekuja na analysis inayoeleza kitakachofanywa na timu yako ambayo sitaki kuitaja.
Pia, huwezi kuwa nafasi ya tatu au ya tano kwenye EPL halafu ukaiponda iliyo nafasi ya pili, otherwise utakuwa hata chandimu hukuwahi kucheza.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]hii ndio shughuli wanaijua vizur sana wanamegeka tu walihamia Chelsea miaka ya 2005 wengine msimu huu wamehamia city Wenger anawanyoosha tu
Kwani nimeifananisha vipi mkuu? Kimapato? Ukubwa? Idadi ya mashabiki? ama vipi sijakuelewa mpaka ukaandika uloandika.Usifananishe UEFA na EUROPA