Man Utd haitochukua taji lolote Msimu huu wa 2017/18


Leo nakukubali kwa huu uzi.
 


Mission ilikuwa rahisi sana kwa Manchester United. Manchester United walitakiwa kushinda mechi zote (19) hii round ya pili na waombee Manchester City afungwe mechi 4 na draw 1. Maana walisema mechi walizopoteza ilikuwa na bahati mbaya. Manchester City kwenye mzunguko wa kwanza alikuwa amewaacha point 13. Leo mzunguko wa pili umeanza na Manchester United amepoteza point 2. Wamepoteza point 2 kwa team ambayo haina uzoefu wa kushinda hapo Trafford.
Tukiweka ushabiki pembeni kweli mnamatumaini la kuchukua Premier League title?.

Leo Manager wa Manchester United anasema mkwanja anaopata kununulia wachezaji ni mdogo kulinganisha na anaopewa mwenzake wa Manchester City.

Likuwa akilenga pale Manchester City walipotumia £52 million kumsajili left-back Benjamin Mendy kutoka AS Monaco. ilikuwa ni rekodi ya dunia kwa usajili wa beki. hapohapo Citizens walilipa £50 million kwa Kyle Walker kutoka Tottenham Hotspur.

Leo Manager kakubali matokeo anasema :
Jose Mourinho: Manchester United Spending 'Not Enough' to Match Manchester City
Jose Mourinho : "It is not enough—Manchester City are buying full-backs for the price of strikers."

Sijui wenzangu mnasemaje, maana walisema tusubiri January, sasa wewe December hii una dro mechi mbili. mmmmmh
 
Tatizo la morihno ni style yake ya ufundishaji, kwani Man utd inawachezaji wazuri lkn hajui jinsi ya kuwatumia, yy kakalili kuweka bus na akifanya masiala anaweza toka nje ya top four, round hii ya pili hata timu inayoshika mkia inataka matokeo ili isishuke daraja.
 
Round ya pili ni mechi zilizopit y
Mechi Za tarehe 26,27 ni za Kumalizia round ya kwanza
 
tatzi la man u sio coach ni la wachezaji wenyewe goals attack ziro
 

Nilipokuwa nawaambia watu kuwa timu izi tunazoziona mbovu ata zikija trafford zinaamini kuwa zinaweza kupata point 3 nikavamiwa. Sasa nafikiri watu wataelewa nlichokuwa nasema. Jose asitwambie kuwa 200m plus hazitoshi kujenga kikosi au 300m, tatizo ni HIS player choices and form of play. Guardiola katumia hela nyingi sana, lakini hakununua big names na hatak akama amenunua mchezaji kwa hela ya juu sana basi amefanya good choice. Ishu sio pesa, ishu ni choice of players na kuspend wise.
 
Leicter na man united umesahau mechi ya kunza mliwafunga
Mkuu zile mechi kabla ya tar 26 na leo 27 zilikuwa ni mechi za kwanza round ya pili ila hizi za jana na leo ni kukamilisha round ya kwanza, labda nikwambie kitu ambacho ukifahamu kwa ligi kuu ya uingereza kabla hujamaliza mechi ya mwisho ya round ya kwanza unacheza kwanza mechi ya round ya pili zen unarudi kumalizia mechi ya round ya kwanza
 
Man na leicter mwanzo umesahau walivyotoka?
We jamaa nimekwambia mechi ya man na Leicester ni mechi ya kwanza round ya pili ila mechi ya jana man u na Burnley ni mechi ya mwisho round ya kwanza, jaribu kuwa muelewa,soma post namba 65 utaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…