Man Utd haitochukua taji lolote Msimu huu wa 2017/18

Akili za watu wa Arsenal nisawa na box lililo na kitu ndani
 
SASA ugomvi wetu sisi Man city unaamia kwa Chelsea maana ndo kashika nafasi ya pili, je tutaweza kelele zao humu? bora man u tulikuwa tunawamudu,
 
Reactions: Lee
utabiri wako unataka utimie
 
Mourhino naye kabaki mapicha picha tu ...kaisha mzee wa watu bora aje aisaidie simba kucheza mabingwa Afrika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…