Man Utd haitofungwa leo na Man City

Man Utd haitofungwa leo na Man City

1D64031C-DB71-4CA3-B0D9-3E5A7D5884E6.jpeg
 
Kutokana na elimu yangu ya unajimu niliyoachiwa na marehemu Sheikh Yahaya, Man Utd leo atashinda au atadroo.

Hivyo punguzeni matarajio ya kuwa atafungwa hasa nyie wadau wa mikeka.

Mechi itaamuliwa na mabeki zaidi na viungo kwa mbali.
Mrejesho mkuu
 
There's a reason no big club was interested with Amrabat despite being available for 21m only

hamis77
 
Kutokana na elimu yangu ya unajimu niliyoachiwa na marehemu Sheikh Yahaya, Man Utd leo atashinda au atadroo.

Hivyo punguzeni matarajio ya kuwa atafungwa hasa nyie wadau wa mikeka.

Mechi itaamuliwa na mabeki zaidi na viungo kwa mbali.
Alikula chuma 3 kwa nunge!
 
Back
Top Bottom