Acha kumzalilisha mzee wa watu, huko alipo amepumzika kwa amaniKutokana na elimu yangu ya unajimu niliyoachiwa na marehemu Sheikh Yahaya, Man Utd leo atashinda au atadroo.
Hivyo punguzeni matarajio ya kuwa atafungwa hasa nyie wadau wa mikeka.
Mechi itaamuliwa na mabeki zaidi na viungo kwa mbali.
Hapana kila mtu ashinde mechi zakeSisi tupo nyuma yenu
Haya nimerudi, mama mdogo unasemaje?Ataukimbia uzi wake na hatarudi tena humu.
Wahi mirembe mamdogoo…MIPUMBAVU MINGINE BWANA......
Mrejesho mkuuKutokana na elimu yangu ya unajimu niliyoachiwa na marehemu Sheikh Yahaya, Man Utd leo atashinda au atadroo.
Hivyo punguzeni matarajio ya kuwa atafungwa hasa nyie wadau wa mikeka.
Mechi itaamuliwa na mabeki zaidi na viungo kwa mbali.
Alikula chuma 3 kwa nunge!Kutokana na elimu yangu ya unajimu niliyoachiwa na marehemu Sheikh Yahaya, Man Utd leo atashinda au atadroo.
Hivyo punguzeni matarajio ya kuwa atafungwa hasa nyie wadau wa mikeka.
Mechi itaamuliwa na mabeki zaidi na viungo kwa mbali.