Man Utd haitofungwa leo na Man City

Name: Ten Hag
Hype: Klopp
Hair cut: Pep Gurdiola
Expectations: Sir Alex Ferguson
Attitude: Mourinho
Reality: Ole gunnar solskajar
 
Kutokana na elimu yangu ya unajimu niliyoachiwa na marehemu Sheikh Yahaya, Man Utd leo atashinda au atadroo.

Hivyo punguzeni matarajio ya kuwa atafungwa hasa nyie wadau wa mikeka.

Mechi itaamuliwa na mabeki zaidi na viungo kwa mbali.
Mrejesho mkuu
 
There's a reason no big club was interested with Amrabat despite being available for 21m only

hamis77
 
Kutokana na elimu yangu ya unajimu niliyoachiwa na marehemu Sheikh Yahaya, Man Utd leo atashinda au atadroo.

Hivyo punguzeni matarajio ya kuwa atafungwa hasa nyie wadau wa mikeka.

Mechi itaamuliwa na mabeki zaidi na viungo kwa mbali.
Alikula chuma 3 kwa nunge!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…