Alexprosper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,286
- 6,110
7up au sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ndiyo Man U tunayoijuaView attachment 2538451
Timu zinazojua zinajua tuClop leo kacheza formation ipi?,Casemiro,Fred,
Martinez wote wametepeta.
Wapi rashford [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata km sipendi mipira ya mbele ila7[emoji28][emoji28][emoji28]
3-1 nyumbani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Arsenal kapigwa ngapi?!
Man U kapigwa saba bila na Liver Dunia yote inalijua hilo.Arsenal kapigwa ngapi?!
Muongo mkubwa jana kamla mtu 37 mtungi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
7 mtungi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Man U kapigwa saba bila na Liver Dunia yote inalijua hilo.
Arsenal full charge anapiga watu kuanzia juu mpaka chini,Liver huyu nawasiwasi nae anaweza akabeba ubingwa dakika za majeruhi huyu.
Liver uwa ni wakorofi sana wakiamka huwa awakamatiki.
🙏fresh.Liver hawezi beba ubingwa wa EPL, kimahesabu alishapoteza.
Ata kama ni wewe unafungweje 7[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utoto raha...
Mapemaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wabongo kama kawaida, hawatakagi kufungwa, ukikosea unapasuliwa tu.
Hamna ukweli ndo huoUna chuki binafsi na Arsenal siyo bure.