Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Acha upumbafu hakuna shabiki wa Chelsea ambaye hamtaki rampardMimi mwenyewe Chelsea wewe cjui Malaya,alafu unaanzaje kujisifia kuwa tumewapelekea moto Liverpool?haya baada ya huo moto tumeongeza point ngapi?ushabiki usichanganye na mapenzi ya timu kijana lampard viatu havimtoshi alihitaji muda zaidi kabla ya kupewa timu ile,kingine jua kutofautisha kati ya "r" na "l", anaitwa lampard na sio rampard,niongeze sauti?
Mambo mengine huwa ni ya kujitakia tu. Mwaka 2014 tu hapo karibu (kwa waliosahau) Ole alifundisha Cardif City mpaka ikashuka daraja kabisa (relegated) na hii ilipaswa kuwa alarm bell kwa Man U's hierarchy. Hata kama alishinda mataji na team yake ya Molde huko Norway, music wa EPL ni habari nyingine.
Chelsea nako: Lampard nae huko Derby County alishika nafasi ya 6. Hata hiyo play-oo aliingia kwa bahati na akashindwa kunavigate kuingiza team EPL. Kwa stature yua Chelsea, huyu alikuwa hafai. Hivi vipigo mfululizo ni stahiki yake.
Wachezaji wa arsenal ndo kabisaa wamekata radha, yaani wanakimbia km wamebeba mawe mifukoni. Wazito km nn...pole mashabiki wa man u, arsenal, chelsea na baselona!Chelsea wakimfukuza lampard watakua wamezingua kwa sababu zifuatazo..
Timu imezuiliwa kusafari wakati kuna wachezaji wa kikosi cha kwanza wameondoka ( hazard + Luiz )
Chelsea inacheza vizur na hata inapopoteza unaona kabisa tatizo ni nini ( tatizo ni defence na naamin combination ya rudiger + tomori itazaa matunda kwa muda eakisubir kusajiri beki wa kuja kuziba pengo la luiz )
Man u inafungwa haijulikani kosa ni nini..
Wachezaji hawana motivation kabisa kama vile wameokotwa tuu mtaani
Oles ataanza kufukuzwa akifwatiwa na unay then puchetino.. lampard atamaliza msimu na hata top four anaweza pata
Chelsea wakimfukuza lampard watakua wamezingua kwa sababu zifuatazo..
Timu imezuiliwa kusafari wakati kuna wachezaji wa kikosi cha kwanza wameondoka ( hazard + Luiz )
Chelsea inacheza vizur na hata inapopoteza unaona kabisa tatizo ni nini ( tatizo ni defence na naamin combination ya rudiger + tomori itazaa matunda kwa muda eakisubir kusajiri beki wa kuja kuziba pengo la luiz )
Man u inafungwa haijulikani kosa ni nini..
Wachezaji hawana motivation kabisa kama vile wameokotwa tuu mtaani
Oles ataanza kufukuzwa akifwatiwa na unay then puchetino.. lampard atamaliza msimu na hata top four anaweza pata
Katafute vichaa wenzako huko. Don't compare yourself with everyone. Idiot.Ivi nyie mnajua mpira kweli au nyie ni vichaa?
Kwa shabiki yoyote wa Chelsea anaejua mpira lazima aliangalia match akiwa anajua kwamba ni ngumu sana kushinda, huwezi kuwazuia salah mane na firmino kwa defence ile,,Wachezaji wa arsenal ndo kabisaa wamekata radha, yaani wanakimbia km wamebeba mawe mifukoni. Wazito km nn...pole mashabiki wa man u, arsenal, chelsea na baselona!
Una akili sana kwa mfumo huu wa rampard siku akisajili mabeki na washambuliaji hii Chelsea itakuwa moto wa kuotea mbali mkuu
Mashabiki wa woman united wanajifariji kwa makosa madogo madogo ya Chelsea
Na ninakwambia woman united asahau kabisa kuingia top ten
Lakin Chelsea top four lazima
Cheki ratiba yenu woman unitedKatafute vichaa wenzako huko. Don't compare yourself with everyone. Idiot.
Kuna vimtu havijuagi mpira ni maneno na makelele ,mwaka jana wakati mwanitesq utd anashinda wakimsifu sana Ole Moleimet kwamba bonge la Zidane ,Klop Ama Gurdiola nikawaambia ni upepo tuu ukitulia mtamkataa.Sasa hivi kimya sisikii kelele mara ooh,mmasai ama mmang'ati.West Ham 2 man utd 0,ila kiufupi hawa makocha wa muda au wazawa huwa wanazingua sana, baada ya Lampard kutimuliwa Chelsea siku chache zijazo namuona Ole sendeka akifuata.
Kuna kengine juzi kanasema ,Kwa Barcelonwa hii,watu wataomba maji sana.Nikikakumbuka nabaki nakashangaa.Mashabiki wa Barcelona wakijifariji machungu ya Jana.
Kwa hiyo mkapata point ngapi? Unaniiumbusha wimbo fulani hivi,,Sifa za kiiiiiiMleta mada acha upumbafu rampad hafukuzwi Chelsea hata kwa dawa wala kwa dakika moja
Huyo ni kocha wa kudumu pale Chelsea
Waulize Liverpool leo moto tuliowapelekea waishukuru VR
Kajamaa ni kaajabu.Mimi mwenyewe Chelsea wewe cjui Malaya,alafu unaanzaje kujisifia kuwa tumewapelekea moto Liverpool?haya baada ya huo moto tumeongeza point ngapi?ushabiki usichanganye na mapenzi ya timu kijana lampard viatu havimtoshi alihitaji muda zaidi kabla ya kupewa timu ile,kingine jua kutofautisha kati ya "r" na "l", anaitwa lampard na sio rampard,niongeze sauti?
Uliingia upepo wa Gurdiola,Luis Henrique na baadaye Zidane Aka Zizzou wakakariri.Mambo mengine huwa ni ya kujitakia tu. Mwaka 2014 tu hapo karibu (kwa waliosahau) Ole alifundisha Cardif City mpaka ikashuka daraja kabisa (relegated) na hii ilipaswa kuwa alarm bell kwa Man U's hierarchy. Hata kama alishinda mataji na team yake ya Molde huko Norway, music wa EPL ni habari nyingine.
Chelsea nako: Lampard nae huko Derby County alishika nafasi ya 6. Hata hiyo play-oo aliingia kwa bahati na akashindwa kunavigate kuingiza team EPL. Kwa stature yua Chelsea, huyu alikuwa hafai. Hivi vipigo mfululizo ni stahiki yake.
Mkuu kama imezuiliwa kusafiri wanafikaje viwanja vya ugenini?Chelsea wakimfukuza lampard watakua wamezingua kwa sababu zifuatazo..
Timu imezuiliwa kusafari wakati kuna wachezaji wa kikosi cha kwanza wameondoka ( hazard + Luiz )
Chelsea inacheza vizur na hata inapopoteza unaona kabisa tatizo ni nini ( tatizo ni defence na naamin combination ya rudiger + tomori itazaa matunda kwa muda eakisubir kusajiri beki wa kuja kuziba pengo la luiz )
Man u inafungwa haijulikani kosa ni nini..
Wachezaji hawana motivation kabisa kama vile wameokotwa tuu mtaani
Oles ataanza kufukuzwa akifwatiwa na unay then puchetino.. lampard atamaliza msimu na hata top four anaweza pata
Wapi wanakutana na Man City baada ya kucheza na Arsenal sasa au mihemko tu?
Sijui amesikia au anatafakariMkuu kama imezuiliwa kusafiri wanafikaje viwanja vya ugenini?