Man UTD wakilipa zaidi ya £50m kwa ajili ya Mount basi nitawaona boya

Yaani Man u sijui nani katuloga, sasa mount wa Nini hata, Chelsea reject tunataka kuvunja benki!!!!
 
Yaani Man u sijui nani katuloga, sasa mount wa Nini hata, Chelsea reject tunataka kuvunja benki!!!!
Man u kuna shida kubwa

Yani kabisa tujamuona barella. Caicedo,

Tunahangaika na mtu anaecheza position moja na bruno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…