Man UTD wakilipa zaidi ya £50m kwa ajili ya Mount basi nitawaona boya

Man UTD wakilipa zaidi ya £50m kwa ajili ya Mount basi nitawaona boya

Yaani Man u sijui nani katuloga, sasa mount wa Nini hata, Chelsea reject tunataka kuvunja benki!!!!
 
Yaani Man u sijui nani katuloga, sasa mount wa Nini hata, Chelsea reject tunataka kuvunja benki!!!!
Man u kuna shida kubwa

Yani kabisa tujamuona barella. Caicedo,

Tunahangaika na mtu anaecheza position moja na bruno
 
Back
Top Bottom