Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,721
- 1,514
someshaSi wote.
Kafa kifo kibaya sana chenye maumivu..Mungu atuepushe na hili balaahata kama ukosefu wa kazi ndo ujinyonge mkuu gazeti la mikasa hili ingia hata millard ayo
kwanini ujiue lakini?
Am a lady,somesha
Mmhh!!Watu wanapotosha hii habari yule kijana amejirusha huko Mbarizi Nchini Uganda....kwa sababu ya kukosa kazi na wala sio kwa sababu mapenzi........
huo bro ni ukwel kabsa hawa wa town kuwatunza kaziMbona kusomesha ni rahisi sana kuliko kumtunza mdada wa mjini? Unalijua hilo?
Angesubiri kwanza zamu yake ifikeJamaa alijinyima na kukubali kushinda na njaa mradi tu amsomeshe mpenzi wake baada ya kumaliza mpenzi wake huyo kampiga chini
jamaa kajirusha toka ghorofani na kufa hapo hapo Haya mapenzi VIJANA MSISOMESHE WAPENZI AU MCHUMBA MTALIA
BORA WANAUME TUONEKANE TUNA ROHO NGUMU
duuuuuhAngesubiri kwanza zamu yake ifike View attachment 395644
na tetesi kwamba hakuwai kus*x nae
sawaAm a lady,
ndio maana naogopa kukupenda hivi hiviKumbe haya mambo huwa yapo eeeeh???
saikologiko hakuwa vizur vaa wewe huo uhusika mkuuNdo akaamua kuchukua maamuzi magumu
mhhh usiniombee nivae huu uhusika mimi siwezi kujinyonga iwe kwa lolote maisha matamusaikologiko hakuwa vizur vaa wewe huo uhusika mkuu
asilimia kubwa,wadada si wa kuwaamini asilimia 100 wengi mna machozi ya kinafiki,kikubwa ni kuwapiga mashine kisawasawa bila huruma hata wakiondoka wanarudi la sivyo mtawasomesha weeeeeh mtawanunulia zawadi weeeeeeeee mwisho wa siku akipata mtaalamu wa kutwanga na kupepeta lazima aondoke kataa ila ukweli ndo huoSi wote.
Hyo ni kutokana na uwezo wao finyu wa kufikiriaYaani kila jambo au tukio...wanalileta katika mtazamo wa ngono ngono tu....
View attachment 395552
Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki dunia.
Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Kalule Mustafa mkazi wa Kawape amefariki katika hospitali ya taifa ya rufaa ya Mulago.
=========
The man who fell from the rooftop of Mabirizi complex in Uganda's capital Kampala has died in hospital.
The man, identified as Kalule Mustafa, a resident of Kawempe was seen on the roof top of the six storied building before suddenly jumping with his arms spread out to the shock of onlookers who were still trying to make out why he was a top the building.
Mr Paul Kangave, the deputy Kampala Metropolitan police spokesperson, said Lule passed on last night at Mulago National Referral Hospital where he had been admitted.
“The man the police rushed to Mulago Hospital on Saturday after jumping from the top of Mabirizi Complex has succumbed to injuries," Mr Kangave said.
Police said it was still investigating to the case but there were uncoordinated accounts with some people claiming to be his friends saying he had developed a misunderstanding with his wife.
Kalule’s incident was the second one to happen at the same building in the last nine months.
Source: Daily Monitor
Mungu Ailaze Roho Yake Mahali Pema Peponi Ameen..View attachment 395552
Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki dunia.
Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Kalule Mustafa mkazi wa Kawape amefariki katika hospitali ya taifa ya rufaa ya Mulago.
=========
The man who fell from the rooftop of Mabirizi complex in Uganda's capital Kampala has died in hospital.
The man, identified as Kalule Mustafa, a resident of Kawempe was seen on the roof top of the six storied building before suddenly jumping with his arms spread out to the shock of onlookers who were still trying to make out why he was a top the building.
Mr Paul Kangave, the deputy Kampala Metropolitan police spokesperson, said Lule passed on last night at Mulago National Referral Hospital where he had been admitted.
“The man the police rushed to Mulago Hospital on Saturday after jumping from the top of Mabirizi Complex has succumbed to injuries," Mr Kangave said.
Police said it was still investigating to the case but there were uncoordinated accounts with some people claiming to be his friends saying he had developed a misunderstanding with his wife.
Kalule’s incident was the second one to happen at the same building in the last nine months.
Source: Daily Monitor