Man who jumped off Mabirizi complex is dead

Man who jumped off Mabirizi complex is dead

SASA MBONA HAMNA PICHA YA MAITI HAPO JUU????
WEKA PICHA

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
 
Watu bado hawakomi tu na hii ishu ya kusomesha msichana!
 
Jamaa alijinyima na kukubali kushinda na njaa mradi tu amsomeshe mpenzi wake baada ya kumaliza mpenzi wake huyo kampiga chini
jamaa kajirusha toka ghorofani na kufa hapo hapo Haya mapenzi VIJANA MSISOMESHE WAPENZI AU MCHUMBA MTALIA





BORA WANAUME TUONEKANE TUNA ROHO NGUMU
Angesubiri kwanza zamu yake ifike
1473251185516.jpg
 
asilimia kubwa,wadada si wa kuwaamini asilimia 100 wengi mna machozi ya kinafiki,kikubwa ni kuwapiga mashine kisawasawa bila huruma hata wakiondoka wanarudi la sivyo mtawasomesha weeeeeh mtawanunulia zawadi weeeeeeeee mwisho wa siku akipata mtaalamu wa kutwanga na kupepeta lazima aondoke kataa ila ukweli ndo huo
 
View attachment 395552

Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki dunia.

Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Kalule Mustafa mkazi wa Kawape amefariki katika hospitali ya taifa ya rufaa ya Mulago.
=========
The man who fell from the rooftop of Mabirizi complex in Uganda's capital Kampala has died in hospital.

The man, identified as Kalule Mustafa, a resident of Kawempe was seen on the roof top of the six storied building before suddenly jumping with his arms spread out to the shock of onlookers who were still trying to make out why he was a top the building.

Mr Paul Kangave, the deputy Kampala Metropolitan police spokesperson, said Lule passed on last night at Mulago National Referral Hospital where he had been admitted.

“The man the police rushed to Mulago Hospital on Saturday after jumping from the top of Mabirizi Complex has succumbed to injuries," Mr Kangave said.

Police said it was still investigating to the case but there were uncoordinated accounts with some people claiming to be his friends saying he had developed a misunderstanding with his wife.

Kalule’s incident was the second one to happen at the same building in the last nine months.


Source: Daily Monitor

View attachment 395552

Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki dunia.

Mwanaume huyo aliyefahamika kwa jina la Kalule Mustafa mkazi wa Kawape amefariki katika hospitali ya taifa ya rufaa ya Mulago.
=========
The man who fell from the rooftop of Mabirizi complex in Uganda's capital Kampala has died in hospital.

The man, identified as Kalule Mustafa, a resident of Kawempe was seen on the roof top of the six storied building before suddenly jumping with his arms spread out to the shock of onlookers who were still trying to make out why he was a top the building.

Mr Paul Kangave, the deputy Kampala Metropolitan police spokesperson, said Lule passed on last night at Mulago National Referral Hospital where he had been admitted.

“The man the police rushed to Mulago Hospital on Saturday after jumping from the top of Mabirizi Complex has succumbed to injuries," Mr Kangave said.

Police said it was still investigating to the case but there were uncoordinated accounts with some people claiming to be his friends saying he had developed a misunderstanding with his wife.

Kalule’s incident was the second one to happen at the same building in the last nine months.


Source: Daily Monitor
Mungu Ailaze Roho Yake Mahali Pema Peponi Ameen..
Kiukwel Jamaa alikua na penz la dhat kwa huyl bint ambae amemtenda lkn yote maisha kuna maisha baada ya Kifo.Ila Pia hakika huyo dada lazima atakuja umizwa moyo kama alivyo mfanyia mwenzie.THAT IT.LOVE LOVE LOVE LOVE LOVE has ruined the WORLD
 
Back
Top Bottom