KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
hata kama ukosefu wa kazi ndo ujinyonge mkuu gazeti la mikasa hili ingia hata millard ayo
kwanini ujiue lakini?
hili limetokea majuzi tu USISOMESHE MCHUMBA PLEASE UTALIA
mapenziiiii mkuu alimtegemea mwanamke ampe utajiri akiajiriwa anakutana na za usoHuyo jamaa lazima alikuwa ni mgonjwa wa akili!
kwaio unaweza kuwajua wengine[emoji22][emoji22][emoji22]Si wote.
Hahaha kaimba ManFongo[emoji15] ......hawa hawaambukizani maradhi kweli.,maana hiyo crew hatari.Angesubiri kwanza zamu yake ifike View attachment 395644
hahahahahahahahah maajabu. mtu inawezaje kufa kwa ajili ya mutu ingineInabidi hilo jumba,liwekewe mlango wa chuma ,na kufungwa mda wote,kwenye ngazi inayokwenda juu fhorofa ya mwisho,na kama kuna lifti pia kuwekwe mlango wa chuma kwa lift ya mwisho,ya juu.
Mkuu Kikulachochako umenena vyema . thanks sanaWahenga walipata kusema kuwa KAMWE HAUWEZI KULA MUWA BILA YA KUKUTA FUNDO....maana yake ni kuwa matatizo ni sehemu ya maisha na njia pekee ni kupambana nayo na sio kuyakimbia....
Lazima tutambue kuwa maisha ni safari ndefu sana....na sio kila muda katika maisha mambo yatakuwa jinsi ambavyo sisi tunataka yawe......sio kila wakati tutapata matokeo mazuri ya kile ambacho tumekikusudia la hasha....lakini hiyo haiwezi kuwa sababu ya sisi kuvunjika moyo na hata kujidhuru......
Kwani pamoja na hayo magumu tunayopitia bado muumba ametujaalia uhai na afya kama nafasi ya kujaribu tena na sio kujitoa uhai......
Kujitoa uhai ni kuidhurumu nafsi yako.....kwa kuwa wengi wapo kama wewe lakini wamechagua kupambana na hali zao......
Hata wale unaowaona barabarani wakiwa na nyuso za furaha si kwa kuwa mambo yao ni mazuri la hasa bali wameamua kupambana na hali zao.....
Dah. ..mapenziiiii mkuu alimtegemea mwanamke ampe utajiri akiajiriwa anakutana na za uso
Hi! Usinifanye nijirushe please