Man who jumped off Mabirizi complex is dead

Man who jumped off Mabirizi complex is dead

hata kama ukosefu wa kazi ndo ujinyonge mkuu gazeti la mikasa hili ingia hata millard ayo


kwanini ujiue lakini?

Watu tumetofautiana uwezo wa kushughulika na changamoto zetu....
Kila mmoja hufanya maamuzi kwa kadri anavyoona inamfaa yeye kama yeye.....bahati mbaya watu wengi wanayaficha matatizo yao....
 
hili limetokea majuzi tu USISOMESHE MCHUMBA PLEASE UTALIA
1473318378267.jpg

Ogopa sana kuambiwa maneno haya,utasomeshaje mpenzi ikiwa ana wazazi wake?kinachotakiwa subiri mzae usomeshe watoto that's it.vijana wa siku hizi wanakosa upeo wa kupambanua mambo na hata wakiishakuwa wamekosea wanafanya ujinga usioelezeka.
 
Inabidi hilo jumba,liwekewe mlango wa chuma ,na kufungwa mda wote,kwenye ngazi inayokwenda juu fhorofa ya mwisho,na kama kuna lifti pia kuwekwe mlango wa chuma kwa lift ya mwisho,ya juu.
hahahahahahahahah maajabu. mtu inawezaje kufa kwa ajili ya mutu ingine
 
Wahenga walipata kusema kuwa KAMWE HAUWEZI KULA MUWA BILA YA KUKUTA FUNDO....maana yake ni kuwa matatizo ni sehemu ya maisha na njia pekee ni kupambana nayo na sio kuyakimbia....

Lazima tutambue kuwa maisha ni safari ndefu sana....na sio kila muda katika maisha mambo yatakuwa jinsi ambavyo sisi tunataka yawe......sio kila wakati tutapata matokeo mazuri ya kile ambacho tumekikusudia la hasha....lakini hiyo haiwezi kuwa sababu ya sisi kuvunjika moyo na hata kujidhuru......
Kwani pamoja na hayo magumu tunayopitia bado muumba ametujaalia uhai na afya kama nafasi ya kujaribu tena na sio kujitoa uhai......
Kujitoa uhai ni kuidhurumu nafsi yako.....kwa kuwa wengi wapo kama wewe lakini wamechagua kupambana na hali zao......

Hata wale unaowaona barabarani wakiwa na nyuso za furaha si kwa kuwa mambo yao ni mazuri la hasa bali wameamua kupambana na hali zao.....
7fd4beaab51dd6363a18520b93dc990a.jpg
Mkuu Kikulachochako umenena vyema . thanks sana
 
Sasa huyo jamaa alipodhamiria kujiua kwa nini asingehakikisha haangukii kwenye magari ya watu. Mwisho wa siku kafa kawaacha watu wasihusika na hasara..
 
It is advisable to provide academic support to your spouse but never do the same to your fiancee.
 
Back
Top Bottom