Man who jumped off Mabirizi complex is dead

Man who jumped off Mabirizi complex is dead

Kama kweli jamaa alimsomesha mpenzi wake halaf kamsaliti, inavyodaiwa na vyombo vya habari , basiiii ishakuwaaaa! Ila educated your chic at your own risk.
 
I said before,i never gona let a woman hypnotize me. Rest in peace [emoji111]️
 
Ukiwa na tatizo jaribu kuwashirikisha kwa muda mwafaka hii yote ni sababu ya kubeba shida uliyonayo kwa wakati mrefu
 
Ni kweli...... kushirikisha wengine kwenye mambo yako pia ni njia moja wapo kutatua ttzo,
 
Bora hata Mungu alivyo mchukua maana sura imevurugikaa sidhan hata angempata tena wa kumsomesha kuanzia cheke chea,
 
Mi mpenzi wangu akiniacha ntajirusha kutoka juu ya ghorofa kwa furaha, sio masikitiko.
 
kazi ya Mungu ni pale alipomuacha ayasikie keanza maumivu ya kujirusha kwake kabla ya kifo hivyo naimani maumivu yalimfanya ajuuuuute kujirusha na si ajabu alikua akisema sirudii tena ujinga wangu. Kwani wanawake waliisha duniani angrenda hapo kwa kagame akajichagulia cha ukweli akaja nacho.......tenda wema nenda zako
 
A permanent solution for a temporary problem.
What the ....
 
Akili ya mwanadamu ina limit yake katika uwezo wa kutatua matatizo! Try to call for help from God if you believe in Him whenever you encounter such situations! Please don't kill thyself! Maisha yako na vivyo uhai wako una thamani sana!
 
Kwani angetafuta demu mwingine Dushe lisinge-dinda au?
Mbona katuaibisha wanaume wenzie!
 
Huyo jamaa lazima alikuwa ni mgonjwa wa akili!
 
Back
Top Bottom