Manabii kupewa heshima hizi ni utumwa

Kama Mfalme Zumaridi eti Mungu chini ya Jua!!

Khaaa!! Manabii wa Mchongo!!

Waafrika bado tumelala Sana!
Sioni tatizo zumaridi kujiita mungu.
Ila tu atuambie sifa zake za uungu ili tuone Kama anazo hizo sifa.

Isije kuwa hekaya za kiyahudi na kiarabu.
 
Kama Mfalme Zumaridi eti Mungu chini ya Jua!!

Khaaa!! Manabii wa Mchongo!!

Waafrika bado tumelala Sana!
Sioni tatizo zumaridi kujiita mungu.
Ila tu atuambie sifa zake za uungu ili tuone Kama anazo hizo sifa.

Isije kuwa hekaya za kiyahudi na kiarabu
 
We jua tu huwezi kuwa na darasa lenye wanafunzi wa kupata 100 wote lazima kuna kinalaza wao.

Hivyo hivyo kwa hao walala chini.

Upuuzi tu.
 
Wajinga waliwao

Wajinga hawaishi

Labda itoke bahari ikauke

Ova
 
Tatizo sio hao manabii, tatizo ni watu wanaowaamini hao manabii wakati kila kitu kiko wazi, ni matapeli kwa 100%.
 
Haya ndiyo majibu ya Mesiya alivyoulizwa na wanafunzi wake kuhusu Manabii wa Uwongo, kwa kweli ni kazi ngumu sana kuwatambua - wengine wanaficha matendo yao.

Mathayo 7 -15
15 “Jihadharini na manabii wa uongo wanaowajia wakiwa wamevaa ngozi ya kondoo, kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…