Manabii wa kisasa vs waganga wa kienyeji

Manabii wa kisasa vs waganga wa kienyeji

TRIPLE H

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
651
Reaction score
349
Amani iwe kwenu wakuu,

Nimekuwa nafuatilia 'manabii wa kisasa' na kulinganisha na kile kinachofanywa na waganga wa kienyeji nikaona kama vile kuna mfanano wa namna fulani kiasi kama wangekuwa hawatumii majina tofauti ingekuwa vigumu sana kuwatofautisha.
Kwa mfano; unakuta nabii anakutokea na kuanza kukuambia mambo ya siri ya maisha yako kama vile anayekuloga, mume uliyetembea naye, mchepuko wako, mtoto uliyezaa kwa mume mwingine na ukaficha na kadhalika nakadhalika. Mambo kama hayo yamekuwa yakisemwa na waganga wa kienyeji vile vile.

Sasa naomba kuuliza mnisaidie jamani:

1. Watu hawa chanzo cha wao kujua siri zetu ni nini?
2. Je, wana vyanzo tofauti vya habari zao au mafunuo/maono yao?
3. Kuna faida gani za 'nabii wa kisasa' kutabiri mambo mepesi-mepesi kama hayo ambayo tangu zamani tunajua waganga ndio wamekuwa wakiyabashiri?


Naomba kuwasilisha.

Ahsanteni...


CC: Mshana jnr
Zitto jnr
 
"Hakuna Mganga wala Nabii mwenye uwezo wa kujua Siri zako!" Niamini Mimi!
 
Amani iwe kwenu wakuu,

Nimekuwa nafuatilia 'manabii wa kisasa' na kulinganisha na kile kinachofanywa na waganga wa kienyeji nikaona kama vile kuna mfanano wa namna fulani kiasi kama wangekuwa hawatumii majina tofauti ingekuwa vigumu sana kuwatofautisha.
Kwa mfano; unakuta nabii anakutokea na kuanza kukuambia mambo ya siri ya maisha yako kama vile anayekuloga, mume uliyetembea naye, mchepuko wako, mtoto uliyezaa kwa mume mwingine na ukaficha na kadhalika nakadhalika. Mambo kama hayo yamekuwa yakisemwa na waganga wa kienyeji vile vile.

Sasa naomba kuuliza mnisaidie jamani:

1. Watu hawa chanzo cha wao kujua siri zetu ni nini?
2. Je, wana vyanzo tofauti vya habari zao au mafunuo/maono yao?
3. Kuna faida gani za 'nabii wa kisasa' kutabiri mambo mepesi-mepesi kama hayo ambayo tangu zamani tunajua waganga ndio wamekuwa wakiyabashiri?


Naomba kuwasilisha.

Ahsanteni...


CC: Mshana jnr
Zitto jnr
Biblia inasema 1 Yohana 4:1-4 kuwa usiamini kila roho. Zijaribu kama zimetoka kwa Mungu kwani manabii wengi wametokea Ulimwenguni.
 
Haya mambo ya siri za wanadamu wanao fahamu zaidi ni majini kama haujui majini ni viumbe kama wanadamu tu ila wao wanauwezo kidogo tu, kujibadilika kimaumbile na kuto onekana hivyo hupata habri tofauti za binadamu ‘thus waganga anaweza kukupa taarifa za wazazi wako kwani ambo wapo kijijini.
JINI anaweza tembea na upepo kwa speed kali sana
Ukikuta mwanadamu anafanya hayo huwa anakuwa na makibaliano nao zaidi ni kuwatumikia kama kuyaabudu kwa kila yatayo taka
All in all ni ushirikina tu
 
Biblia inasema 1 Yohana 4:1-4 kuwa usiamini kila roho. Zijaribu kama zimetoka kwa Mungu kwani manabii wengi wametokea Ulimwenguni.
OK. Sasa tofauti ya hawa 'manabii' na waganga wa kienyeji ni hipi hasa? Nini chanzo cha maono yao?
 
Kinachofanya tuamini hayo Ni njaa tu br mi naona bora turudi kwenye dini yetu ya mizimu huu Ni mtazamo , maana tunapigwa sana ela
Dini ya mizimu ni hipi? Hiko wapi?
 
Haya mambo ya siri za wanadamu wanao fahamu zaidi ni majini kama haujui majini ni viumbe kama wanadamu tu ila wao wanauwezo kidogo tu, kujibadilika kimaumbile na kuto onekana hivyo hupata habri tofauti za binadamu ‘thus waganga anaweza kukupa taarifa za wazazi wako kwani ambo wapo kijijini.
JINI anaweza tembea na upepo kwa speed kali sana
Ukikuta mwanadamu anafanya hayo huwa anakuwa na makibaliano nao zaidi ni kuwatumikia kama kuyaabudu kwa kila yatayo taka
All in all ni ushirikina tu
Tofauti na majini ni nguvu gani pia nyingine inayowapa taarifa hawa watu wa rohoni au ni majini tu hakuna other source of hidden information?
 
"Hakuna Mganga wala Nabii mwenye uwezo wa kujua Siri zako!" Niamini Mimi!
Tupo pamoja...


Hakunaaaaaa...ni usanii tuu wa kucheza na kujua mazingira ya jamii, tamaduni, za jamii fulani kisha kutumia fursa hiyo kudai ni unabii
 
Ngoja waje akina mshana jr watakupa ukweli
1. Wote wanakosea utabiri na kuna wakati wote wanapatia utabiri wa mambo fulani fulani. Inakua kama michezo ya kibahatisha.

2. Wote wanatumia visaidizi, kama maji, chumvi, mafuta, nguo, vitambaa, nk na wanaweza kukupaka hapohapo.

3. Wote wanapomhudumia patient wanaweza kuonyesha kumtoa Viwembe, vipande vya chupa, mchanga, kwenye mwili wa huyo mtu kimazingara.

4. Wote wanakutajia maisha yako ulikopita na mpaka hapo ulipo. Na nani aliekuloga na kukuondolea nyota yako nk.

5. Wote wanataka hela baada ama kabla ya kukuhudumia. Gharama zao hazipishani sana.

6. Wote wanataka total submision kwao yaani uwe muumini/mteja wao. Usiondoke pale mpaka mwisho.

7. Pande zote, zipo shuhuda za waumini/ wateja zilizoshiba za jinsi walivyoliwa Pesa nyingi bila kupata ufumbuzi wa matatizo yao na wengine wameishia kua masikini kabisa kwa kuuza hadi nyumba, kuliwa pension za uzeeni, kufukuzwa kazi, Nk.

8. Wote wanataka usidadisi dadisi mambo yao tabia zao ai matendo yaoz usije ukapata matatizo. Yaani Ujitoe ufahamu na kukubali kila kitu. Yaani uwe na Sheep mentality.
 
OK. Sasa tofauti ya hawa 'manabii' na waganga wa kienyeji ni hipi hasa? Nini chanzo cha maono yao?

Biblia iko fasaha sana katika kutofautisha kati ya manabii na manabii. Mifano michache hapo chini. Uliza zaidi baada ya hapo nitafafanua.

15Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. * 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? * 17Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. * 18Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri. 19Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. * 20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua. * 21Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. * 22Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? * 23Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu. Math 7:15-23


13Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. * 14Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. 15Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao.
2 Kor 11:13-14

Nimeweka vigezo hivyo vichache vya Biblia ikiwa vitausaidia
 
Biblia iko fasaha sana katika kutofautisha kati ya manabii na manabii. Mifano michache hapo chini. Uliza zaidi baada ya hapo nitafafanua.

15Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. * 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? * 17Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. * 18Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri. 19Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. * 20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua. * 21Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. * 22Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? * 23Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu. Math 7:15-23


13Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. * 14Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. 15Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao.
2 Kor 11:13-14

Nimeweka vigezo hivyo vichache vya Biblia ikiwa vitausaidia
Mkuu MGILEADI,
Nimekusoma vizuri lakini ulichofanya ni kunukuu maandiko yanayotofautisha manabii (wa Kristo na wa uongo)
Nilichotaka kujua si tofauti ya manabii, bali tofauti ya unabii 'wa kisasa/kizazi hiki' na uganga wa kienyeji!
Kuna tofauti gani hasa?
 
1. Wote wanakosea utabiri na kuna wakati wote wanapatia utabiri wa mambo fulani fulani. Inakua kama michezo ya kibahatisha.

2. Wote wanatumia visaidizi, kama maji, chumvi, mafuta, nguo, vitambaa, nk na wanaweza kukupaka hapohapo.

3. Wote wanapomhudumia patient wanaweza kuonyesha kumtoa Viwembe, vipande vya chupa, mchanga, kwenye mwili wa huyo mtu kimazingara.

4. Wote wanakutajia maisha yako ulikopita na mpaka hapo ulipo. Na nani aliekuloga na kukuondolea nyota yako nk.

5. Wote wanataka hela baada ama kabla ya kukuhudumia. Gharama zao hazipishani sana.

6. Wote wanataka total submision kwao yaani uwe muumini/mteja wao. Usiondoke pale mpaka mwisho.

7. Pande zote, zipo shuhuda za waumini/ wateja zilizoshiba za jinsi walivyoliwa Pesa nyingi bila kupata ufumbuzi wa matatizo yao na wengine wameishia kua masikini kabisa kwa kuuza hadi nyumba, kuliwa pension za uzeeni, kufukuzwa kazi, Nk.

8. Wote wanataka usidadisi dadisi mambo yao tabia zao ai matendo yaoz usije ukapata matatizo. Yaani Ujitoe ufahamu na kukubali kila kitu. Yaani uwe na Sheep mentality.
Kwa hiyo una-conclude kwa kusema 'NI WALE WALE TU' wala hapana tofauti kati yao?
 
Tupo pamoja...


Hakunaaaaaa...ni usanii tuu wa kucheza na kujua mazingira ya jamii, tamaduni, za jamii fulani kisha kutumia fursa hiyo kudai ni unabii
Lakini wapo ambao wana uwezo mkubwa wa kujua siri hata kama hawajawahi kumuona 'mteja' wao. Nimekutana nao wote kwa nyakati tofauti na kushangaa vile walivyoweza kubaini siri zangu bila kukosea ila mmoja alinisaidia na wa pili akachemka though alifanikiwa kujua the secret behind my past situation.
 
Back
Top Bottom